Dkt. Kalemani aweka historia Loya, Tabora
![](https://1.bp.blogspot.com/-QQjib1NxvgE/XsUmbO72BbI/AAAAAAALq9E/OPgJoXqqVZYuI7PlinhN_HOsa9AVGSq4gCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B2.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, akiwaonyesha kifaa cha Umeme tayari (UMETA) wakazi wa Kijiji cha Loya wilayani Uyui Mkoani Tabora, alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini, katika kijiji hicho, Mei 19,2020.
Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, akiwasha mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ambayo sasa inatumia umeme badala ya mafuta mazito kujiendesha, inayomilikiwa na Mkazi wa Kijiji cha Loya wilayani Uyui Mkoani Tabora, wakati alipofanya ziara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3-7-768x512.jpg)
DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3-7-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-4-4-1024x683.jpg)
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-1-10-1024x755.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO4BmMi5k3J1Ch8L3n44rhhxSwJMfQeij0IxDzMqTqIJTjnEdYch1jzmra8ONwVV6JICbQpzvJV-w9bd7XpcszEC/1shoga.jpg?width=650)
SHOGA AWEKA HISTORIA BONGO
11 years ago
MichuziDIAMOND AWEKA HISTORIA NEW JERSEY
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s72-c/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Kikwete aweka historia China
Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s1600/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Mbali na kupokewa kwa pikipiki, msafara wa Kikwete pia uliongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara, tofauti na mapokezi ya viongozi wengine katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Rais Kikwete, ambaye aliwasili China wiki iliyopita kuanza ziara rasmi ya siku sita nchini humo,...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Sir Nature aweka historia kitabuni
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Juma Kassim ‘Sir Nature’ amesema yupo katika mikakati ya kuandaa kitabu cha historia ya maisha yake ambayo anatarajia kuisambaza hivi karibuni. Kwa mujibu...
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Marta aweka historia kombe la dunia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYynYhkyrHbzywdWtNkuzfV72DiEZUr3cbEegDFIvVApUnOVlgpcSflHObxDfrTZk9LOHfuPAa9z4d44SXcCtgv/klose3.jpg)
MIROSLAV KLOSE AWEKA HISTORIA KOMBE LA DUNIA
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Diamond aweka historia tena Dar Live
Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo
Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live.
Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.
Nyomi ya kufa mtu ndani ya Dar Live wakiendelea kumshangilia Diamond.
Wacheza shoo wa kike wa Diamond wakifanya yao.
Diamond akiwachombeza mashabiki.
Diamond akicheza na wacheza shoo wake wa kiume.
Akiongea na mashabiki.
Diamond akifanya yake na wacheza shoo wake.
Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki...
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Mke wa Rais wa Kenya aweka historia London