Mke wa Rais wa Kenya aweka historia London
Mke wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, Margaret Kenyatta amekuwa mwanamke wa kwanza mama wa taifa kushiriki mbio za London Marathon na kumaliza mbio hizo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AhdUv6p-CNU/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Kenya:Mke wa rais atetea watoto
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OZg0zbX4Wy4/VhS7_QYgZ8I/AAAAAAAH9YI/o_qZ8rxugqo/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KENYATTA - ISINGEKUWA KIKWETE HISTORIA YA KENYA LEO INGEKUWA TOFAUTI
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://4.bp.blogspot.com/-OZg0zbX4Wy4/VhS7_QYgZ8I/AAAAAAAH9YI/o_qZ8rxugqo/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa juhudi na busara zake wakati nchi hiyo ilipoingia kwenye machafuko...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Rais Uhuru Kenyatta — Isingekuwa Kikwete historia ya Kenya leo ingekuwa tofauti
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa juhudi na busara zake wakati nchi hiyo ilipoingia kwenye machafuko ya kisiasa mwaka 2007.
Rais Kenyatta amemshukuru Rais Kikwete leo mbele ya wafanya biashara wa Kenya na Tanzania, wakati wakufungua Kikao cha wafanyabiashara pamoja jijini Nairobi leo asubuhi.
“Kama isingekua msaada wako mwaka 2007 na juhudi zako, historia ya Kenya leo...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s72-c/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Kikwete aweka historia China
Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s1600/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Mbali na kupokewa kwa pikipiki, msafara wa Kikwete pia uliongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara, tofauti na mapokezi ya viongozi wengine katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Rais Kikwete, ambaye aliwasili China wiki iliyopita kuanza ziara rasmi ya siku sita nchini humo,...
11 years ago
MichuziDIAMOND AWEKA HISTORIA NEW JERSEY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO4BmMi5k3J1Ch8L3n44rhhxSwJMfQeij0IxDzMqTqIJTjnEdYch1jzmra8ONwVV6JICbQpzvJV-w9bd7XpcszEC/1shoga.jpg?width=650)
SHOGA AWEKA HISTORIA BONGO