Rais Uhuru Kenyatta — Isingekuwa Kikwete historia ya Kenya leo ingekuwa tofauti
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa juhudi na busara zake wakati nchi hiyo ilipoingia kwenye machafuko ya kisiasa mwaka 2007.
Rais Kenyatta amemshukuru Rais Kikwete leo mbele ya wafanya biashara wa Kenya na Tanzania, wakati wakufungua Kikao cha wafanyabiashara pamoja jijini Nairobi leo asubuhi.
“Kama isingekua msaada wako mwaka 2007 na juhudi zako, historia ya Kenya leo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OZg0zbX4Wy4/VhS7_QYgZ8I/AAAAAAAH9YI/o_qZ8rxugqo/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KENYATTA - ISINGEKUWA KIKWETE HISTORIA YA KENYA LEO INGEKUWA TOFAUTI
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://4.bp.blogspot.com/-OZg0zbX4Wy4/VhS7_QYgZ8I/AAAAAAAH9YI/o_qZ8rxugqo/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amemshukuru Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa juhudi na busara zake wakati nchi hiyo ilipoingia kwenye machafuko...
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ugF8R4GTRbo/U-bCS26FV7I/AAAAAAAF-LI/8NjMHQgv1fI/s72-c/uk1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA MJINI DUBAI WAKIWA NJIANI KUREJEA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ugF8R4GTRbo/U-bCS26FV7I/AAAAAAAF-LI/8NjMHQgv1fI/s1600/uk1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lc_GFdYyXwE/U-bCUDrj64I/AAAAAAAF-LU/1AbY9n-ufuA/s1600/uk2.jpg)
10 years ago
Vijimambo09 Oct
RAIS UHURU KENYATTA AWASILI NCHINI KENYA AKITOKEA MAHAKAMA YA ICC
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqINso9IOrPmLlqVl0yIlTAk1yewZeokjyeGN47s4jUoTMMTwkXOg3Q9*jmtoSWgEdUgZD46DdZH9DnYf9D8WGi5/uhuru.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqLc5vEf6GlX8XYTzO*LPeYakLjdpfAD9czsLoLUL8z93eGkwf4R9wOeX7ybfdMu9BrSm2W3WkDIFQYK9U9SkeqC/uhuru2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqIrSwh*5yfiwnpyQ7SNqGpvaW30MtWkwZ0GizbU1QbUBF71l0pTEOlLm6-pRClrG*lBq0VKPc-gWWpCfMk9blqi/uhuru3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqI3tmxlDyhQb9HQGuFFzu78XBt6w02Exg*tSz9Iz0KVvAUG9yesvaIuOmVf9kwPACxnMVOTSwLpS11tCoAsqyzb/uhuru4.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi04 Dec
Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda
![](https://2.bp.blogspot.com/-xqIaKTncqn4/VH_cFnF7ajI/AAAAAAABzYY/efKUwoaBj0c/s1600/141008160241_kenya_icc_640x360_bbc_nocredit.jpg)
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda
Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya akataa kufuta uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu
5 years ago
BBCSwahili29 May
Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya asema hatokubali kufanyakazi na wanaopinga ajenda yake serikalini