Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6UsYUijwxug/U_cyK0K32RI/AAAAAAAGBYE/c3xJeeqG6EE/s72-c/c12.jpg)
RAIS KIKWETE ASAFIRI KWA TRENI YA TAZARA KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6UsYUijwxug/U_cyK0K32RI/AAAAAAAGBYE/c3xJeeqG6EE/s1600/c12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-brYEbymvXoA/U_cyR_hfS3I/AAAAAAAGBYo/-G8aJVc3XC4/s1600/c27.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WKdRJhzr3fc/U_cyRsmoKHI/AAAAAAAGBYk/dGlqfqVtvJo/s1600/c28.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFKowtl*Je6zmnFe8oBhSHfggryGLOCr-GWb5CB*FK9OszTFrExnA3OhZrvEEH0B2lQ48Lofj*GbasxSSDp3wcg5/c5.jpg?width=600)
RAIS KIKWETE ASAFIRI KWA TRENI YA TAZARA KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA MOROGORO
10 years ago
Habarileo23 Aug
Kikwete asafiri kilometa 143 kwa treni
RAIS Jakaya Kikwete juzi aliweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa
Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.
Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...
9 years ago
Bongo502 Nov
Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000
![cassper soldout](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cassper-soldout-94x94.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AhdUv6p-CNU/default.jpg)
11 years ago
MichuziPINDA ASAFIRI KWA TRENI KWENDA READING KUZUNGUMZA NA WATANZANIA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipanda treni kutoka Reading kwenda London Uingereza baada ya kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s72-c/unnamed.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS JAKAYA M.KIKWETE NA WAZIRI WA UCHUKUZI MHE MWAKYEMBE NA MKUU WA MKOA WA MARA KWA AJALI MBAYA YA BASI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA ZAIDI YA 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s1600/unnamed.jpg)
Chama cha Ujenzi wa Taifa cha NRA ,(National Reconstruction Alliance); kinatoa salamu za pole/rambirambi kwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe Jakaya Kikwete, Waziri za Uchukuzi, Mkuu wa mkoa wa Mara na Wafiwa kwa ajali mbaya ya Basi iliyopelekea kupotea kwa maisha ya watanzania zaidi ya 40, akiongea kwa njia ya simu akiwa katika ziara ya kikazi mkoani kigoma Naibu KATIBU MKUU NA KATIBU MKUU wa BODI ya chama Mhe Hassan Kisabya (pichani) , ametoa salamu hizo kwa niaba ya Chama...
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Treni yarejea Kampala mara ya kwanza tangu 1998