Kikwete asafiri kilometa 143 kwa treni
RAIS Jakaya Kikwete juzi aliweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6UsYUijwxug/U_cyK0K32RI/AAAAAAAGBYE/c3xJeeqG6EE/s72-c/c12.jpg)
RAIS KIKWETE ASAFIRI KWA TRENI YA TAZARA KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6UsYUijwxug/U_cyK0K32RI/AAAAAAAGBYE/c3xJeeqG6EE/s1600/c12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-brYEbymvXoA/U_cyR_hfS3I/AAAAAAAGBYo/-G8aJVc3XC4/s1600/c27.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WKdRJhzr3fc/U_cyRsmoKHI/AAAAAAAGBYk/dGlqfqVtvJo/s1600/c28.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFKowtl*Je6zmnFe8oBhSHfggryGLOCr-GWb5CB*FK9OszTFrExnA3OhZrvEEH0B2lQ48Lofj*GbasxSSDp3wcg5/c5.jpg?width=600)
RAIS KIKWETE ASAFIRI KWA TRENI YA TAZARA KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA MOROGORO
11 years ago
MichuziPINDA ASAFIRI KWA TRENI KWENDA READING KUZUNGUMZA NA WATANZANIA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipanda treni kutoka Reading kwenda London Uingereza baada ya kuzungumza na watanzania waishio Reading Julai 10, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi29 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ci7ozlN95Po/VdmCVnxo0uI/AAAAAAAAJU8/9rqHuhR1e9E/s72-c/Iringa%2BNyang%2527oro.jpg)
KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10
![](http://2.bp.blogspot.com/-ci7ozlN95Po/VdmCVnxo0uI/AAAAAAAAJU8/9rqHuhR1e9E/s640/Iringa%2BNyang%2527oro.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-taSoAqdVHAQ/Vdl7WvLinGI/AAAAAAAAJUc/1NAxd0hwGcQ/s640/20150516_082254.jpg)
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Rais Sata asafiri nje kwa matibabu
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-taSoAqdVHAQ/Vdl7WvLinGI/AAAAAAAAJUc/1NAxd0hwGcQ/s640/20150516_082254.jpg?width=650)
KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10