Rais Kikwete na Vijana waliosafiri zaidi ya kilometa 800 kwa baiskeli kuja kumpongeza na kusambaza uzalendo
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dqnasWvA1yM/VZAIty1tUjI/AAAAAAADttk/pvAcnVHlKYA/s72-c/ba1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPOKEA WAPANDA BASIKELI WALIOSAFIRI KILOMITA 830 KUTOKA MBEYA KUJA KUMPONGEZA IKULU, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-dqnasWvA1yM/VZAIty1tUjI/AAAAAAADttk/pvAcnVHlKYA/s640/ba1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI
Rais Jakaya Kikwete akiwa na mtoto wa miaka minane aliejitambulisha kwa jina la Brian ambaye alitoa burudani ya kupiga kinanda wakati wa wimbo wa Taifa na nyimbo nyinginezo katika hafla ya USIKU WA JAKAYA uliofanyika usiku wa kuamkia leo katika hoteli ya JW Mariott jijini Washington…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s72-c/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI YA USIKU WA JAKAYA JIJINI WASHINGTON DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p82ivnl_BuY/VB0owdIIEmI/AAAAAAAGkuo/zEPPIFx8jxY/s1600/0L7C1714.jpg)
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,
10 years ago
Habarileo23 Aug
Kikwete asafiri kilometa 143 kwa treni
RAIS Jakaya Kikwete juzi aliweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--n0nQ9pf6qo/U5xxkuAENXI/AAAAAAAFqrk/y-eMcHfwOKE/s1600/unnamed+(22).jpg)
Rais kikwete katika Tamasha la Uzalendo jioni hii mjini Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya pamoja na wasanii mbalimbali wakati wa Tamasha la Uzalendo na uzinduzi wa Video ya Wimbo Maalum wa Mika 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zinazoendelea hivi sasa katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma jioni hii. Picha na Freddy Maro
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya wasanii walioshiriki katika tamasha la Uzalendi na uzinduzi wa Video ya wimbo Maalum wa Miaka 50 ya Muungano wa...
![](http://4.bp.blogspot.com/-7uqzrkAIJy0/U5x1Ya8RsaI/AAAAAAAFqrw/VxKVnj6JRnA/s1600/unnamed+(23).jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete akutana na Wapanda Baiskeli Ikulu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S7anPHgux_0/Xuryu2ePCdI/AAAAAAALuTw/OAzDTaXJV80TWmW2cof_SDOcHONBy3-_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.05.34%2BAM.jpeg)
MILIONI 800 ZATUMIKA KUKARABATI CHUO CHA UALIMU BUSTANI, WAZIRI NDALICHAKO AHIMIZA UZALENDO
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako amewataka wanachuo nchini kuipenda Nchi yao na kuwa mabalozi wazuri katika kuitetea na kutangaza kazi kubwa inayofanywa na serikali katika kuwatumikia watanzania.
Prof Ndalichako ameyasema hayo leo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo Cha Ualimu Bustani kwa ajili ya kukagua maendeleo yake na kuzungumza na wanafunzi wake.
Akizungumza baada ya kukagua miradi ya maendeleo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnWwP33g*IbXKkK5dW2o7Ka3E3jUpkyjtPljLwhatfAA4BSFs8uVsVCshCL*IyhJe1vkf4LaXAmaP2rVh29Al1it/mtitu.jpg)
MTITU: RAIS KIKWETE ALINIFANYA NIANZISHE KAMPUNI YA KUSAMBAZA FILAMU
Makala: Elvan Stambuli
WILLIAM Mtitu ni mdau mkubwa wa filamu hapa nchini anayefahamika na wapenzi wengi wa tasnia hiyo.
Yeye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd inayojihusisha na usambazaji wa filamu nchini, muigizaji na muongozaji pia. Amepata mafaniko katika kazi hizo. Mkurugenzi wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu ndani ya… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania