RAIS KIKWETE AWAPOKEA WAPANDA BASIKELI WALIOSAFIRI KILOMITA 830 KUTOKA MBEYA KUJA KUMPONGEZA IKULU, DAR ES SALAAM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Bw. Wiseman Mwakyusa Luvanda(2) mmoja wa Wapanda baiskeli wawili kati ya wanne waliofunga safari kwa baiskeli kwa kilomita 830 kutoka Mbeya kuelekea Dar es salaam kwa madhumuni ya kumpongeza Rais jakaya Mrisho kikwete kwa uongozi bora ulioleta maendeleo na mabadiliko mengi katika miaka yake 10 ya uongozi kwenye viwanja vya Ikulu Dar es salaam Jumapili Juni 28, 2015. wapanda baiskeli wenzao wawili wamerudi jijini Mbeya kwa ajili ya Uzinduzi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Jun
10 years ago
VijimamboRais Kikwete akutana na Wapanda Baiskeli Ikulu
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA AFRIKA KUSINI LEO IKULU DAR ES SALAAM


11 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA AFRIKA KUSINI LEO IKULU DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE NA DKT. REGINALD MENGI IKULU, DAR ES SALAAM


PICHA NA IKULU
11 years ago
Michuzi
Wazee wa CCM Zanzibar Wamtembelea Rais Kikwete ikulu Dar es Salaam

10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete akutana na Maalim Seif Ikulu jijini Dar es Salaam


