KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10
![](http://2.bp.blogspot.com/-ci7ozlN95Po/VdmCVnxo0uI/AAAAAAAAJU8/9rqHuhR1e9E/s72-c/Iringa%2BNyang%2527oro.jpg)
Ujenzi wa barabara ya Iringa-Dodoma umekamilika kwa asilimia 95, bado maeneo machache tu likiwemo hili la Mlima Nyang'oro ambapo Wachina wameuchonga ili kupunguza kona katika umbali wa kilometa 15.
Wakati wakandarasi walipokuwa wanajenga daraja hili katika eneo la Miangalua kwenye barabara ya Tunduma-Sumbawanga mwaka 2011. Barabara hiyo sasa imekamilika.
Barabara ya Mwanza-Musoma iko katika hali nzuri.
Ujenzi wa barabara ukiendelea katika baadhi ya miradi nchini.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-taSoAqdVHAQ/Vdl7WvLinGI/AAAAAAAAJUc/1NAxd0hwGcQ/s640/20150516_082254.jpg?width=650)
KILOMETA 6,276 ZA BARABARA ZAJENGWA NCHINI KWA MIAKA 10
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YFtpsOEEVoA/VhYKqhAdW5I/AAAAAAAAA9w/2S2V30g7TJo/s72-c/maguu.jpg)
MAGUFULI AMUAHIDI DAVIS MOSHA KILOMETA 10 ZA BARABARA MOSHI MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YFtpsOEEVoA/VhYKqhAdW5I/AAAAAAAAA9w/2S2V30g7TJo/s640/maguu.jpg)
wa Moshi Mjini Mh. Davis Elisa Mosha.
Mkutano wa Kampezi za Mgombea Urais Kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro umerindima jana katika Jimbo la Moshi mjini katika Viwanja vya Mashujaa na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa CCM wa Wilaya, Mkoa na Kitaifa.Mbali na Mgombea Urais kupitia Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli alikuwepo Mjumbe wa Halmashauri kuu ya ccm na Mlezi wa Mkoa wa Kilimanjaro Ndhugu Emanuel Nchimbi,...
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
JK afungua barabara ya Ndundu-Somanga yenye urefu wa Kilometa 60 mkoani Lindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-YsMIms-clS4/VcV1kOyYSFI/AAAAAAAHvTk/jvhiacpYsuA/s640/_MG_3181.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YsMIms-clS4/VcV1kOyYSFI/AAAAAAAHvTk/jvhiacpYsuA/s72-c/_MG_3181.jpg)
JK AFUNGUA BARABARA YA NDUNDU-SOMANGA YENYE UREFU WA KILOMETA 60 MKOANI LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YsMIms-clS4/VcV1kOyYSFI/AAAAAAAHvTk/jvhiacpYsuA/s640/_MG_3181.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Jun
Nyumba za walimu zajengwa kwa bilioni 14/-
SERIKALI imetoa kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) Sh bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu nchini kati ya mwaka 2009 hadi mwaka 2013.
10 years ago
Habarileo23 Aug
Kikwete asafiri kilometa 143 kwa treni
RAIS Jakaya Kikwete juzi aliweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
10 years ago
Michuzi12 Aug
RFB yafanikiwa kufanya maboresha ya barabara kwa kiwango cha lami nchini
![unnamed (100)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/unnamed-100.jpg)
![unnamed101](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/unnamed101.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSKynTDTb-Y/VQmI4IzBMMI/AAAAAAAHLSc/Yt2maeQgSP4/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI AIPONGEZA JICA KWA UFADHILI WA MIRADI MBALIMBALI YA BARABARA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iSKynTDTb-Y/VQmI4IzBMMI/AAAAAAAHLSc/Yt2maeQgSP4/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcK-IIMwllI/VQmI4fmy-tI/AAAAAAAHLSk/DuyNmQfhQ8w/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s72-c/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
RFB yafanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s400/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini(RFB) imefanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa Serikali ya awamu ya nne wa Mhe. Jakaya Kikwete.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Jana Bw. Joseph Haule amesema kuwa matengenezo hayo yamefanikisha ujenzi wa barabara kuu zinazounganisha mikoa mbalimbali nchini kukamilika kwa asilimia 89 huku zile za Wilaya na Miji kwa asilimia 57.
“ kazi...