Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa

dj kflip

Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.

Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Trey Songz aachia mixtape mpya ‘Kwa Yeyote Anayehusika’, isikilize yote hapa

trey

Baada ya Chris Brown, Rick Ross, Lil Wayne na wengine kuachia mixtape zao hivi karibuni, Muimbaji wa RnB, Trey Songz na yeye ametoa ya kwake.

trey

Trey Songz ameachia mixtape yake inayoitwa ‘To Whom It May Concern’ (Kwa yeyote anayehusika) kwenye siku yake ya kuzaliwa Nov. 28 ambapo sasa amefikisha umri wa miaka 31.

TO WHOM IT MAY CONCERN TRACKLISTING

1. “Blessed” (prod. by Mano)
2. “Everybody Say” feat. MIKExANGEL and Dave East (prod. by Mano)
3. “Walls” feat. MIKExANGEL and Chisanity (prod. by...

 

9 years ago

Bongo5

Diddy aachia Mixtape mpya ‘MMM’ bure kama zawadi ya birthday yake (Isikilize yote)

diddy2

Jumatano ya November 4 ilikuwa ni birthday ya Sean John Combs maarufu kama Diddy ambaye amefikisha miaka 46.

diddy2

Katika kusheherekea birthday yake, rapper huyo mkongwe aliamua kuwa-surprise mashabiki wake kwa kuachia mixtape mpya ‘MMM’ (Money Making Mitch) ambayo ameitoa bure kwa yeyote anayetaka kudownload.

“Good Afternoon World!! Today is a big day!!! I am releasing a SONIC MOTION PICTURE, which is FREE and AVAILABLE EVERYWHERE. I want to thank everybody that has supported me over the years...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza

c5

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.

Rais Kikwete,...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Wiz Khalifa atoa mixtape mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa!

wizwizi1

Staa wa muziki wa Hip Hop Marekani, Wiz Khalifa ameachia mixtape yake mpya ‘Cabin Fever 3’ na kutimiza ahadi kwa mashabiki wake.

wizwizi1

Rapper huyo anatarajia kuachia album yake ijayo, Rolling Papers 2 mwakani, 2016.

Cabin Fever 3 ina nyimbo 11 na huu ni muendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2012, Cabin Fever 2.

Kwenye Cabin Fever 3 amewashirikisha wasanii kama Juicy J, K Camp, Kevin Gates, Curren$y, Problem, Chevy Woods na King Los. Producers waliosaidia kukamilisha project hii ni pamoja na TM88,...

 

11 years ago

Michuzi

HEINEKEN YAZINDUA MICHUANO YA FOOSBALL KWA MARA NYINGINE TENA HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Heineken Tanzania Bw. Uche Unigwe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mchezo wa foosball katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia kwake wamesimama washindi kutoka michuano ya mwaka jana waliopata nafasi ya kwenda Amsterdam.

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown aachia mixtape mpya ‘Before The Party’ kwa kushtukiza

chris-brown-btp

Chris Brown amewa-surprise mashabiki wake #TeamBreezy kwa kuachia Mixtape ya kushtukiza ‘Before The Party’ siku ya Ijumaa November 27.

chris-brown-btp

Mixtape hiyo imetoka wiki chache kabla hajaachia rasmi album yake mpya ‘Royalty’ itakayotoka Dec.18.

#BeforeTheParty is available now! This is for you #TeamBreezy! #BlackFriday #Royalty https://t.co/qnGLM4Lznw pic.twitter.com/RCB8XjveAw

— Chris Brown (@chrisbrown) November 27, 2015

‘Before The Party’ ina jumla ya nyimbo 34, zikiwemo collabo ambazo hazikuwahi...

 

10 years ago

Vijimambo

Dakika moja na nusu ya michano mikali kutoka kwa Ay ‘El Chapo’ isikilize hapa.

Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Ay can still do it kwenye rap kama alivyothibitisha kwenye El Chapo iliyorekodiwa na Marco Chali. Sauti ya Jokate pia ipo kwenye Clip hii

 

11 years ago

Michuzi

uuzaji wa hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.

TANGAZO MAALUM  NA MUHIMU Ninapenda kuwatumia Watanzania wote habari hii kuhusu hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.   Kuna wenye uzoefu wa kufanya shughuli hizi za ununuzi na uuzaji wa hisa lakini kuna wengine ambao wangependa kuanza kufanya kuwekeza kwa njia hiyo.   Ni vyema wananchi wawe na habari hizi ili wafanye uamuzi unaofaa badala ya kutokujihusisha na shughuli hii kwa sababu ya kukosa habari au kutokufahamu...

 

9 years ago

Vijimambo

MKISI AIBUKA MSHINDI KWA MARA YA NYINGINE

Wafuasi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jimbo la Vwawa wakiwa wambeba juu Fanuel Mkisi mara baada ya kutangazwa mshindi wa kwanza, kura za Maoni kumpata mgombea Ubunge uliofanyijka jana katika kanisa la Moravian Mjini Vwawa. (Picha na Kenneth Ngelesi)Mshindi wa nafasi ya kwanza uchaguzi wa marudio kura za maoni wa kumpata mgombea atakaye peperusha bendera ya chma cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) Jimbo la Vwawa Fanuel Mkisi akiwa juu ya gari huku akipunga Mikono kwa wafuasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani