Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HEINEKEN YAZINDUA MICHUANO YA FOOSBALL KWA MARA NYINGINE TENA HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Heineken Tanzania Bw. Uche Unigwe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mchezo wa foosball katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia kwake wamesimama washindi kutoka michuano ya mwaka jana waliopata nafasi ya kwenda Amsterdam.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MICHUANO YA HEINEKEN FOOSBALL YAINGIA FAINALI

Mkurugenzi mkuu wa Heineken Tanzania,Uche Unigwe (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola Elfu 10 za kimarekani kwa Mmiliki wa Bar ya Didi's,Bwana Hillary ikiwa ni zawadi kwa washindi wa fainali za Mchezo wa Heineken Foosball.Katikati ni washindi hao ambao ni  Ntoli Mwaikambo na Eric Duncan Lissa. Wachezaji wa timu ya Didis, Eric Duncan Lissa (wa kwanza kushoto) akiwa na mwenzake Ntoli Mwaikambo wakichuana vikali na Said Duche (wa kwanza kulia) na Abdala Kassim wa Hasadam...

 

10 years ago

Bongo5

Davido kuja Tanzania kwa mara nyingine tena

Hitmaker wa ‘Skelewu’ Davido wa Nigeria anatarajia kuja nchini Tanzania kwa mara nyingine tena. Mwaka jana msanii huyo alikuwa miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta, jijini Dar es Salaam. Hata hivyo haijaweza kujulikana mapema iwapo atakuwepo pia kwenye Fiesta ya Dar mwaka huu. Kuna tetesi zingine kuwa kituo kingine kikubwa cha redio cha Dar […]

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA ALITIKISA JIJI LA TANGA KWA MARA NYINGINE TENA

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia wananchi wakati akiwasili kwenye viwanja wa Indian Ocean, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni,  Oktoba 21, 2015. Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwahutubia wananchi wa jiji la Tanga waliofurika katika viwanja wa Indian Ocean, katika Mkutano wa Kampeni, ...

 

9 years ago

Dewji Blog

DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa

dj kflip

Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.

Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Kajala Atoa Kinyongo, Kwa Mara Nyingine Awashukuru Wema na Petitman na Kufungua Milango ya Urafiki Tena

Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni kubwa katika kuokoa maisha yangu...

Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu...

 

11 years ago

Michuzi

Michauno ya Heineken foosball yazidi kunoga

Mwakilishi wa kampuni ya Heineken Tanzania, Amon Theonest (kulia) akiteta na kapteni wa timu Boko stars Elifuraha Salimu pamoja na Rafael Masanga kuhusu ushindi wao mkubwa baada yakushinda michuano ya foosball pale Hisaje boko Dar es salaam. Washindi hao pia wameingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain kuburudika na kutazama fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. Timu ya Boko Stars kushoto ikiongozwa na capteni Elifuraha Salimu pamoja na...

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Heineken foosball yaendelea jijini Dar

Wachezaji wa timu ya Techno wakiongozwa na kapteni wao Geoffrey Dominic (kulia) na Augustine Alex wakishangilia ushindi wao, wakiwa pia na zawadi Kutoka Heineken. Washindi hawa walishinda michuano ya foosball pale Kisuma Temeke. Washindi hao wameingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain kuangalia fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. Mtanange ukiendelea. Mwakilishi wa kampuni inayoratibu mecho wa foosball kwa naiba ya Heineken Tanzania, Jack Juma ...

 

11 years ago

Michuzi

Wawili watinga robo fainali ya Heineken foosball

Mwakilishi wa kampuni ya Heineken Tanzania, Amon Theonest (katikati) akiwapongeza wachezaji wa Team Boko stars baada ya ushindi wao pale Hisaje Park, Boko. Washindi hao Elifuraha Salimu (kushoto) na mwenzake Rafael Masanga waliitwanga timu ya bongo stars kwa magoli tisa nakuingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain kuangalia fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. Kapteni wa timu ya Winners Moses Maira (kulia) akitabasamu pamoja na mwenzake Hassan Chansa...

 

11 years ago

Michuzi

Mambo ya Mashindano ya Heineken foosball Wikiendi hii ya pasaka

Baadhi ya wadau wa mpira wa meza yani foosball unaothaminiwa na Heineken, wakicheza pale Frisha’s Arena.
Weekend hii Heineken inakuletea mchezo kabambe wa foosball karibu na pale ulipo. Kushiriki kwa michuano hii unatakiwa kufika eneo husika pata kinwaji cha Heineken, Sajili jina la timu yako na tayari utakuwa umepata nafasi yakushinda tripu kali yakwenda Ibiza Spain kushuhudia fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. MC mkali a.k.a Mr.foosball better known as Cpwaaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani