Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo ya Mashindano ya Heineken foosball Wikiendi hii ya pasaka

Baadhi ya wadau wa mpira wa meza yani foosball unaothaminiwa na Heineken, wakicheza pale Frisha’s Arena.
Weekend hii Heineken inakuletea mchezo kabambe wa foosball karibu na pale ulipo. Kushiriki kwa michuano hii unatakiwa kufika eneo husika pata kinwaji cha Heineken, Sajili jina la timu yako na tayari utakuwa umepata nafasi yakushinda tripu kali yakwenda Ibiza Spain kushuhudia fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. MC mkali a.k.a Mr.foosball better known as Cpwaaa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Heineken foosball yaendelea jijini Dar

Wachezaji wa timu ya Techno wakiongozwa na kapteni wao Geoffrey Dominic (kulia) na Augustine Alex wakishangilia ushindi wao, wakiwa pia na zawadi Kutoka Heineken. Washindi hawa walishinda michuano ya foosball pale Kisuma Temeke. Washindi hao wameingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain kuangalia fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. Mtanange ukiendelea. Mwakilishi wa kampuni inayoratibu mecho wa foosball kwa naiba ya Heineken Tanzania, Jack Juma ...

 

11 years ago

Michuzi

Michauno ya Heineken foosball yazidi kunoga

Mwakilishi wa kampuni ya Heineken Tanzania, Amon Theonest (kulia) akiteta na kapteni wa timu Boko stars Elifuraha Salimu pamoja na Rafael Masanga kuhusu ushindi wao mkubwa baada yakushinda michuano ya foosball pale Hisaje boko Dar es salaam. Washindi hao pia wameingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain kuburudika na kutazama fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. Timu ya Boko Stars kushoto ikiongozwa na capteni Elifuraha Salimu pamoja na...

 

11 years ago

Michuzi

MICHUANO YA HEINEKEN FOOSBALL YAINGIA FAINALI

Mkurugenzi mkuu wa Heineken Tanzania,Uche Unigwe (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola Elfu 10 za kimarekani kwa Mmiliki wa Bar ya Didi's,Bwana Hillary ikiwa ni zawadi kwa washindi wa fainali za Mchezo wa Heineken Foosball.Katikati ni washindi hao ambao ni  Ntoli Mwaikambo na Eric Duncan Lissa. Wachezaji wa timu ya Didis, Eric Duncan Lissa (wa kwanza kushoto) akiwa na mwenzake Ntoli Mwaikambo wakichuana vikali na Said Duche (wa kwanza kulia) na Abdala Kassim wa Hasadam...

 

11 years ago

Michuzi

Wawili watinga robo fainali ya Heineken foosball

Mwakilishi wa kampuni ya Heineken Tanzania, Amon Theonest (katikati) akiwapongeza wachezaji wa Team Boko stars baada ya ushindi wao pale Hisaje Park, Boko. Washindi hao Elifuraha Salimu (kushoto) na mwenzake Rafael Masanga waliitwanga timu ya bongo stars kwa magoli tisa nakuingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain kuangalia fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. Kapteni wa timu ya Winners Moses Maira (kulia) akitabasamu pamoja na mwenzake Hassan Chansa...

 

11 years ago

Michuzi

Michauno ya Heineken foosball yazidi kufana jijini Dar

Wachezaji wanaochuana katoka Michuano ya Heineken foosball inayoendelea katika sehemu mbalimbali za burudani jijini Dar,wakishindana katika moja ya michezo yao iliyofanyika jana katika kiota cha Maisha Club.Zidi kutembelea blog ilikupata taarifa zaidi.
Mwakilishi wa kampuni ya Heineken Tanzania, Muhana Kibuta akimkabidhi kapteni wa timu Mancity zawadi baada yakushinda michuano ya foosball pale Maisha Club. Washindi hao pia wameingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi wa Mpira wa mezani (Heineken Foosball) wakwea pipa kuelekea Ibiza

Washindi wa mpira wa mezani (Heineken Foosball ) Eric Ducan Lissa (Wa kwanza kushoto) na Ntoli Mwaikombo (wapili kulia) wakiwa na mizigo yao kabla kukaguliwa uwanjani JNIA tayari kwa safari ya Ibiza, hispania kuangalia live screen ya fainali za kombe la mabingwa ulaya kwenye sehemu maalum iliyotengwa na Heineken kwa ajili ya watu maalum. Wamesindikizwa na mliki wa bar ya Didi’s Bwana Hillary Mremi (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Heineken Tanzania Amon Theonest. Eric alitabiri ushindi wa...

 

11 years ago

Michuzi

HEINEKEN YAZINDUA MICHUANO YA FOOSBALL KWA MARA NYINGINE TENA HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Heineken Tanzania Bw. Uche Unigwe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mchezo wa foosball katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia kwake wamesimama washindi kutoka michuano ya mwaka jana waliopata nafasi ya kwenda Amsterdam.

 

11 years ago

Michuzi

MAMBO YA HEINEKEN NYAMA CHOMA YALIVYONOGA

Andrew Mahaiga akiwa na rafiki yake Arther Samuel katika tamasha la Nyama Choma hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Msanii wa Bongo Fleva, Cpwaa akiwa ndani la tamasha la Nyama Choma hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Mpenzi wa burudani akifurahia kuwa ndani ya banda la Heineken ndani ya Nyama Choma festival hivi karibuni. Millard Ayo akitangaza mshindi wa shindano la Heineken ya kwenda Amsterdam nchini Hollanzi, kulia kwake Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Bw. Uche Unigwe. Wapenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani