Michauno ya Heineken foosball yazidi kufana jijini Dar
Wachezaji wanaochuana katoka Michuano ya Heineken foosball inayoendelea katika sehemu mbalimbali za burudani jijini Dar,wakishindana katika moja ya michezo yao iliyofanyika jana katika kiota cha Maisha Club.Zidi kutembelea blog ilikupata taarifa zaidi.
Mwakilishi wa kampuni ya Heineken Tanzania, Muhana Kibuta akimkabidhi kapteni wa timu Mancity zawadi baada yakushinda michuano ya foosball pale Maisha Club. Washindi hao pia wameingia robo finali ya kuwania nafasi ya kwenda Ibiza Spain...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMichauno ya Heineken foosball yazidi kunoga
11 years ago
MichuziMashindano ya Heineken foosball yaendelea jijini Dar
11 years ago
MichuziMICHUANO YA HEINEKEN FOOSBALL YAINGIA FAINALI
11 years ago
MichuziWawili watinga robo fainali ya Heineken foosball
11 years ago
MichuziMambo ya Mashindano ya Heineken foosball Wikiendi hii ya pasaka
Weekend hii Heineken inakuletea mchezo kabambe wa foosball karibu na pale ulipo. Kushiriki kwa michuano hii unatakiwa kufika eneo husika pata kinwaji cha Heineken, Sajili jina la timu yako na tayari utakuwa umepata nafasi yakushinda tripu kali yakwenda Ibiza Spain kushuhudia fainali za ligi ya mabigwa ulaya UEFA champions league. MC mkali a.k.a Mr.foosball better known as Cpwaaa...
11 years ago
MichuziWashindi wa Mpira wa mezani (Heineken Foosball) wakwea pipa kuelekea Ibiza
11 years ago
MichuziHEINEKEN YAZINDUA MICHUANO YA FOOSBALL KWA MARA NYINGINE TENA HAPA NCHINI
11 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboSIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2015 KUFANA KTK UKUMBI WA DAR CARNIVAL