Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMBO YA HEINEKEN NYAMA CHOMA YALIVYONOGA

Andrew Mahaiga akiwa na rafiki yake Arther Samuel katika tamasha la Nyama Choma hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Msanii wa Bongo Fleva, Cpwaa akiwa ndani la tamasha la Nyama Choma hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Mpenzi wa burudani akifurahia kuwa ndani ya banda la Heineken ndani ya Nyama Choma festival hivi karibuni. Millard Ayo akitangaza mshindi wa shindano la Heineken ya kwenda Amsterdam nchini Hollanzi, kulia kwake Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Bw. Uche Unigwe. Wapenzi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Bia ya Heineken ilivyopamba kwenye Nyama choma Festival Leaders Club

DSC_0859Banda la Heineken lililokuwa kivutio katika tamasha hilo la Nyama Choma, Dj  wa Heineken akitoa burudani kwa wateja na wadau wa bia hiyo waliofurika ndnai ya banda hilo Septemba 5.2015, Nyama Choma Festival.. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

Tamasha kubwa la Nyama Choma  (Nyama Choma Festival) ambalo ufanyika kila  baada ya miezi mitatu katika mwaka,  safari hii limeendelea kuteka umati mkubwa wa wadau wa Nyama na burudani waliofurika katika viwanja...

 

10 years ago

Michuzi

NYAMA CHOMA FESTIVAL

NYAMA CHOMA FESTIVAL-DAR 6 SEPT TICKETS ZINAUZWA SAMAKI SAMAKI YA POSTA NA YA MLIMANI CITY KWA SH 7000 TU.GETINI SH 10,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Shindano la Nyama choma lafunguliwa

>Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia yake ya Safari imetangaza rasmi uzinduzi wa shindano la uchomaji  nyama kwa mwaka huu wa 2014.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

TheCitizen

Another nyama choma success story

Going by the long queues of vehicles stretching all the way to Ali Hassan Mwinyi road, it was undeniable that this event has for the last three years been a bid deal for locals. 

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Mapacha Watatu wafunika Nyama Choma

BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu imewapagawisha na kukonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika tamasha la Heineken Nyama Choma lililofanyika mwishoni mwa wiki baada ya kupiga shoo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Nyama Choma Festival a culture one should never miss

SAM_5023

DJ Micho entertaining the Heineken lovers (not in picture) during the Nyama Choma Festival.

Tanzania’s prime Nyama Choma Festival which was held on September 5th 2015 brought together meat lovers for an afternoon of fun, music and relaxation.

The festival organized by Alta Vista Events and indulged fans to a variety of sumptuous flame grilled meats plus electric live entertainment from a line-up of talented entertainers, including AY, Mwana FA and FM Academia while enjoying international...

 

10 years ago

Michuzi

SD EXECUTIVEHOTELMABINGWA SAFARI NYAMA CHOMA 2015MWANZA

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Kanda ya Ziwa, Godwin Zacharia (katikati) akimkabidhi kikombe Mpishi Mkuu wa Bar ya SD Exective ya jijini Mwanza, Mussa Mashauri mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya Safari Nyama Choma yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mwanza.Kulia ni Meneja wa bia ya Safari Lger, Edith Bebwa.
Na Mwandishi Wetu.Mbeya.
SD EXECUTIVE Hotel jijini Mwanza wameibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Safari Lager Nyama Choma 2015 yaliyofanyiaka mswishoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani