Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MICHUZI TV NDANI YA TAMASHA LA NYAMA CHOMA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wazidi kulitikisa Jiji la Dar, usikose leo Thai Village na kesho ndani ya JEMBE BEACH jijini Mwanza tamasha la Nyama Choma

IMG-20141023-WA0003

Hashimu Donode akiimba kwa hisia kalii kabisaaa ndani ya Thai Village ili kuwapa burudani mashabiki wake.

Kama kawaida yetu kila ifikapo Ijumaa Bendi yako kali na matata hapa nchini Skylight Band tunakuwepo ndani ya kiota cha maraha Thai Village Masaki, Njoo wewe,yule na wote kuanzia mida ya saa tatu kamili mpaka mida yetu ileeeeeeeee, upate muziki mzuriiii kwenye masikio yako kwa masong makali na mapya toka kwa Timu nzima ya Skylight Band. Sogea sogea pale kati.

Digna Mbepera akiimba kwa...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la Nyama Choma lakonga nyoyo za wana Dar

Fans posing for Heineken

Fans posing for Heineken.

The Nyama Choma Festival ended in style last Saturday with thousands of consumers being treated to a variety of sumptuous flame grilled meats. Held at the Leaders Grounds  in Dar es Salaam the event, organised by Carol Ndosi, brought together meat lovers for an afternoon of fun, music and relaxation.

Revellars started flowing in their hundreds from around 3pm while the event lasted till late. There two different stages set up, one for FM Academia music fans, on...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yakonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Nyama Choma Festival

DSC_0020

Kikosi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Band, Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake ndani ya viwanja vya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma lilifanyika mwishoni mwa wiki. Kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Sony Masamba.

DSC_0025

Swagga za Skylight Band hii inafahamika kama “Mashauzi” mkongwe Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wake ( hawapo pichani).

DSC_0030

Asali ya warembo Sam Mapenzi akifanya yake jukwaani kwenye tamasha la...

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha La kwanza la The Nyama Choma Festival kwa mwaka 2015 Kufanyika Leaders Club Jumamosi Tarehe 7 February.

TNCF imesogeza mbele ratiba yake kutoka March hadi February kuheshimu kipindi cha Kwa Resma Kwa Jumuiya ya  Wakristo.Tamasha hili kwa Dar es Salaam litafanyika mara 3 tu kwa mwaka kuanzia mwaka huu na sio Mara 4 kama ilivyozoeleka ili kulipa nafasi kufanyika mikoa na nchi nyingine za Afrika Mashariki.

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE NDANI YA NYAMA CHOMA FESTIVAL‏

Kikosi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Band, Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake ndani ya viwanja vya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma lilifanyika mwishoni mwa wiki. Kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Sony Masamba. Swagga za Skylight Band hii inafahamika kama "Mashauzi" mkongwe Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wake ( hawapo...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALI MBALI ZA TAMASHA LA NYAMA CHOMA JIJINI DAR

 Wadau ndani ya Tamasha la Nyama Choma,toka kulia ni Dimo Dibwe,Carol Ndossi (Muandaaji wa Tamasha hilo la Nyama Choma) pamoja na Mdau Edwin MacTemba.  Nyama ikiendelea kuiva jikoni huku walaji wakiendelea kuimezea Mate.   Mtaalam wa kuchoma nyama toka jamii ya Kimasai akitest mzigo kama uko poa.  Wadau wakiendele kutafuna nyama huku zingine zikiendelea kuiva taratibu.  Maandalizi ya Nyama yakiendelea.  Mshkaki maridadi kabisa.
BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR KWENYE 'NYAMA CHOMA FESTIVAL' NDANI YA VIWANJA VYA POSTA‏

Sam Mapenzi na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma lililofanyika Jumamosi hii kwenye vianjwa vya Posta jijini Dar ambapo Skylight Band iliongoza kwa kukusanya mashabiki lukuki. Sam Mapenzi wa Skylight Band akishindana na mmoja wa mashabiki kucheza wimbo wa Davido SKELEWU.…

 

10 years ago

Michuzi

NYAMA CHOMA FESTIVAL

NYAMA CHOMA FESTIVAL-DAR 6 SEPT TICKETS ZINAUZWA SAMAKI SAMAKI YA POSTA NA YA MLIMANI CITY KWA SH 7000 TU.GETINI SH 10,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani