Tamasha La kwanza la The Nyama Choma Festival kwa mwaka 2015 Kufanyika Leaders Club Jumamosi Tarehe 7 February.
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
TNCF imesogeza mbele ratiba yake kutoka March hadi February kuheshimu kipindi cha Kwa Resma Kwa Jumuiya ya Wakristo.Tamasha hili kwa Dar es Salaam litafanyika mara 3 tu kwa mwaka kuanzia mwaka huu na sio Mara 4 kama ilivyozoeleka ili kulipa nafasi kufanyika mikoa na nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Sep
Bia ya Heineken ilivyopamba kwenye Nyama choma Festival Leaders Club
Banda la Heineken lililokuwa kivutio katika tamasha hilo la Nyama Choma, Dj wa Heineken akitoa burudani kwa wateja na wadau wa bia hiyo waliofurika ndnai ya banda hilo Septemba 5.2015, Nyama Choma Festival.. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tamasha kubwa la Nyama Choma (Nyama Choma Festival) ambalo ufanyika kila baada ya miezi mitatu katika mwaka, safari hii limeendelea kuteka umati mkubwa wa wadau wa Nyama na burudani waliofurika katika viwanja...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YMlcTjZ39l8/VHcw2GfVoCI/AAAAAAAGzws/yhMuvbios1Y/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamasha la magari kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club
Afisa Fedha Mkuu wa Milembe Insurance Bw. Dioniz Diocles akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy akiongea na waandishi wa habari kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September,...
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
NYAMA Choma Festival to be held at Leaders Grounds
The Nyama Choma Festival, that brings together meat lovers for an afternoon of fun, music and relaxation, will officially be held on the 7th February, at Leaders Grounds!!
The festival which is organised by Alta Vista Events, will treat fans to a variety of sumptuous flame grilled meats plus electric live band entertainment from Skylight Band, Yamoto Band and a line-up of talented entertainers, including [DJK3, Mafuvu,)
Heineken, a proud partner of the event, will give its VIP consumers a...
10 years ago
Bongo506 Feb
The Nyama Choma Festival to be held at Leaders Grounds this Saturday
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Skylight Band washeherekea funga mwezi na mashabiki wao kwa burudani ya nguvu, kesho jumamosi tukutane Nyama Choma Festival
Joniko Flower (kulia) akiongoza mashambulizi huku akipewa tafu ya kutoshaaa na Aneth Kushaba (katikati) na Sony Masamba (kushoto).
Kama ilivyo kawaida ya Bendi yako Matata na inayokimbiza Tanzania kwa sasa Ijumaa ya Tarehe 31.11.2014 walipiga bonge moja la show pale Masaki Thai Village, Show hiyo iliandaliwa maalumu kuwashukuru mashabiki wao wanaowapiga sapoti ya nguvu kwenye show zao za kila Mwisho wa wiki.Kama Kawaida Mlangoni ulikuwa ukiingia unapata Glass moja Ya Tequila.Ratiba Yetu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ohsx97g6afY/VEpWcDS_hGI/AAAAAAAGtIw/TM3M-5sA6i4/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
10 years ago
Bongo527 Nov