Sky Light Band kupamba Nyama Choma Festival Mwanza Jumamosi Hii.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ohsx97g6afY/VEpWcDS_hGI/AAAAAAAGtIw/TM3M-5sA6i4/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Skylight Band washeherekea funga mwezi na mashabiki wao kwa burudani ya nguvu, kesho jumamosi tukutane Nyama Choma Festival
Joniko Flower (kulia) akiongoza mashambulizi huku akipewa tafu ya kutoshaaa na Aneth Kushaba (katikati) na Sony Masamba (kushoto).
Kama ilivyo kawaida ya Bendi yako Matata na inayokimbiza Tanzania kwa sasa Ijumaa ya Tarehe 31.11.2014 walipiga bonge moja la show pale Masaki Thai Village, Show hiyo iliandaliwa maalumu kuwashukuru mashabiki wao wanaowapiga sapoti ya nguvu kwenye show zao za kila Mwisho wa wiki.Kama Kawaida Mlangoni ulikuwa ukiingia unapata Glass moja Ya Tequila.Ratiba Yetu...
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Skylight Band yatikisa jiji la Dar Nyama Choma Festival
Sam Mapenzi, Joniko Flower na Hashim Donode wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika miwshoni mwa juma katika viwanja vya michezo vya chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Mashabiki wakiwa wameshona kwenye viwanja vya michezo vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika Nyama Choma Festival huku Skylight Band wakitoa burudani ya aina yake.
Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani sambamba na Digna Mbepera kwa mashabiki wa muziki wa Live Band kwenye tamasha la Nyama...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_03261.jpg)
SKYLIGHT BAND YATIKISA JIJI LA DAR NYAMA CHOMA FESTIVAL
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Skylight Band yakonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya Nyama Choma Festival
Kikosi cha Skylight Band kikiongozwa na mkongwe wa muziki wa Live Band, Joniko Flower (kushoto) kutoa burudani kwa mashabiki wake ndani ya viwanja vya Leaders Club kwenye tamasha la Nyama Choma lilifanyika mwishoni mwa wiki. Kutoka kulia ni Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Sony Masamba.
Swagga za Skylight Band hii inafahamika kama “Mashauzi” mkongwe Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wake ( hawapo pichani).
Asali ya warembo Sam Mapenzi akifanya yake jukwaani kwenye tamasha la...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0020.jpg)
SKYLIGHT BAND YAKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE NDANI YA NYAMA CHOMA FESTIVAL
10 years ago
Bongo501 Oct
Mwanza, Nyama Choma Festival inakuja October 25, itafanyika Jembe Beach
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tamasha La kwanza la The Nyama Choma Festival kwa mwaka 2015 Kufanyika Leaders Club Jumamosi Tarehe 7 February.
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Bongo505 Nov
Nyama Choma Festival: Dodoma ni wikiendi hii Royal Village, Dar ni Dec 6, UDSM Grounds
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wULp0gMaO7M/VaUYit6qypI/AAAAAAAAAtI/NjCgSJkUfUg/s72-c/iyk_bbq%2B2015.jpg)