Davido kuja Tanzania kwa mara nyingine tena
Hitmaker wa ‘Skelewu’ Davido wa Nigeria anatarajia kuja nchini Tanzania kwa mara nyingine tena. Mwaka jana msanii huyo alikuwa miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta, jijini Dar es Salaam. Hata hivyo haijaweza kujulikana mapema iwapo atakuwepo pia kwenye Fiesta ya Dar mwaka huu. Kuna tetesi zingine kuwa kituo kingine kikubwa cha redio cha Dar […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--1Naj32FCf0/VifI8reKnvI/AAAAAAAAvUU/_4z7QAY3a4w/s72-c/OTH_7774.jpg)
LOWASSA ALITIKISA JIJI LA TANGA KWA MARA NYINGINE TENA
![](http://2.bp.blogspot.com/--1Naj32FCf0/VifI8reKnvI/AAAAAAAAvUU/_4z7QAY3a4w/s640/OTH_7774.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TOevUHNsbaA/VifJO6DMgAI/AAAAAAAAvUc/2Jr8hQiV_Sg/s640/OTH_8075.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qrpRVjGD7y0/VifJu7MS8jI/AAAAAAAAvUs/4j39FqLvX50/s640/OTH_8085.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wlJG2SGB8b4/Uysci_jRDZI/AAAAAAAFVRI/eUsr_nL8rJ8/s72-c/GRM_8312.jpg)
HEINEKEN YAZINDUA MICHUANO YA FOOSBALL KWA MARA NYINGINE TENA HAPA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-wlJG2SGB8b4/Uysci_jRDZI/AAAAAAAFVRI/eUsr_nL8rJ8/s1600/GRM_8312.jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 May
Leo Kajala Atoa Kinyongo, Kwa Mara Nyingine Awashukuru Wema na Petitman na Kufungua Milango ya Urafiki Tena
Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni kubwa katika kuokoa maisha yangu...
Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu...
10 years ago
Bongo514 Jan
Wizkid kuja Tanzania mwaka huu kwa mara ya kwanza
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GMnsIZxUzwM/VdNGsuA0LpI/AAAAAAABfRo/cRHVFeBneDw/s72-c/mkisi1.jpg)
MKISI AIBUKA MSHINDI KWA MARA YA NYINGINE
![](http://1.bp.blogspot.com/-GMnsIZxUzwM/VdNGsuA0LpI/AAAAAAABfRo/cRHVFeBneDw/s640/mkisi1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--QECxuKgKpo/VdNGtYlckTI/AAAAAAABfRs/RYy57Ew1AN0/s640/mkisi.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa
Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.
Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...
10 years ago
Vijimambo26 Jan
DR SHEIN KUGOMBEA KWA MARA NYINGINE URAIS VISIWANI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2602978/highRes/930843/-/maxw/600/-/3frsynz/-/shein.jpg)
Tamko hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi katika Kongamano lililofanyika Ukumbi wa Shule ya...
10 years ago
CloudsFM14 Apr
Nay Wa Mitego,Diamond waingia studio kwa mara nyingine kufanya ngoma.
Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Diamond Platinumz hivi karibuni. Akizungumza na Clouds FM, Nay alisema kuwa ngoma hiyo ameifanya kwenye studio za Free Nation kwa producer Mr.Tee Touch na kwamba jina la ngoma hiyo atalisema siku ambayo atakayoitambulisha ngoma hiyo.
‘’Yaah nimefanya ngoma tena na Diamond Platinumz na nitaitambulisha hivi karibuni kikweli sijisifii ni bonge la ngoma,’’alisema Nay Wa Mitego.
Mastaa hao walishawahi kufanya...