DR SHEIN KUGOMBEA KWA MARA NYINGINE URAIS VISIWANI
Zanzibar. Kamati maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar imepitisha azimio la pamoja la kumtaka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kujitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais uchaguzi unaotarajia kufanyika mwaka huu,imefahamika Visiwani humo.
Tamko hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi katika Kongamano lililofanyika Ukumbi wa Shule ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Dk Shein apendekezwa kupeperusha bendera ya CCM Urais visiwani
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Shein aidhinishwa kugombea urais Zanzibar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZNJ4c14yfaQ/VeszRzgjCMI/AAAAAAAH2fc/Zfs4saDk4qA/s72-c/DSC_2192.jpg)
DK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZNJ4c14yfaQ/VeszRzgjCMI/AAAAAAAH2fc/Zfs4saDk4qA/s640/DSC_2192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ktHCb8uLdCs/VeszOz6tWvI/AAAAAAAH2fM/y9zl_p3EZis/s640/DSC_2409.jpg)
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).
10 years ago
GPL11 Jul
NAPE AMTANGAZA SHEIN KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR 2015
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho
Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dr Ali Mohammed Shein kesho anatarajiwa kuchukuwa rasmi form ya kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu. Dr Shein amepangiwa saa […]
The post Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbstBr_JPLY/VZLL4HIoL7I/AAAAAAAHl5g/EOEZYoQWQ5M/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
DK.Shein Arejesha Fomu za kugombea Urais wa Zanzibar leo mjini Unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbstBr_JPLY/VZLL4HIoL7I/AAAAAAAHl5g/EOEZYoQWQ5M/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0a6S_908xXs/VZLL4a-D0HI/AAAAAAAHl5o/HYUwG40PyU4/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s72-c/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
WAZIRI MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM MARA BAADA YA KUKAMILISHA ZOEZI LA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s640/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-laWDp0u2wjM/VYjlndsCbBI/AAAAAAAHioQ/TucGqV3_NSA/s640/unnamed%2B%252866%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-64M6uLD_OFo/VYjlnO4pnHI/AAAAAAAHioU/7RcMNnw12sc/s640/unnamed%2B%252867%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NODrx5G4V1w/VYjln_mOoNI/AAAAAAAHioo/ECfeYXZYxhg/s640/unnamed%2B%252868%2529%2B-%2BCopy.jpg)