Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho
Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dr Ali Mohammed Shein kesho anatarajiwa kuchukuwa rasmi form ya kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu. Dr Shein amepangiwa saa […]
The post Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI ACHUKUA FORM YA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli, leo amechukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama chake kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Rais Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally kwenye Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dodoma.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa fomu hiyo, Rais Magufuli amesema anaanza mapema mchakato wa kutafuta wadhamini ili awahi kurejesha fomu hiyo mapema.
Mwenyekiti huyo wa CCM amesema...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Dk. Shein kukabidhi Tuzo kwa Wanamichezo Bora Tanzania ndani ukumbi wa Diamond Jubilee hapo kesho
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
MAANDALIZI kwa ajili ya Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania, zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika.
Tuzo hizo zitatolewa kesho Ijumaa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam, kuanzia saa 12 jioni, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein.
Wanamichezo mbalimbali wanatarajiwa kupewa tuzo hizo kutokana...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Shein aidhinishwa kugombea urais Zanzibar
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZNJ4c14yfaQ/VeszRzgjCMI/AAAAAAAH2fc/Zfs4saDk4qA/s72-c/DSC_2192.jpg)
DK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZNJ4c14yfaQ/VeszRzgjCMI/AAAAAAAH2fc/Zfs4saDk4qA/s640/DSC_2192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ktHCb8uLdCs/VeszOz6tWvI/AAAAAAAH2fM/y9zl_p3EZis/s640/DSC_2409.jpg)
10 years ago
Vijimambo26 Jan
DR SHEIN KUGOMBEA KWA MARA NYINGINE URAIS VISIWANI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2602978/highRes/930843/-/maxw/600/-/3frsynz/-/shein.jpg)
Tamko hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi katika Kongamano lililofanyika Ukumbi wa Shule ya...
10 years ago
GPL11 Jul
NAPE AMTANGAZA SHEIN KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YbstBr_JPLY/VZLL4HIoL7I/AAAAAAAHl5g/EOEZYoQWQ5M/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
DK.Shein Arejesha Fomu za kugombea Urais wa Zanzibar leo mjini Unguja
![](http://2.bp.blogspot.com/-YbstBr_JPLY/VZLL4HIoL7I/AAAAAAAHl5g/EOEZYoQWQ5M/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0a6S_908xXs/VZLL4a-D0HI/AAAAAAAHl5o/HYUwG40PyU4/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)