RAIS MAGUFULI ACHUKUA FORM YA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-erEViLS8GfI/XunM_fpkGcI/AAAAAAAC7ws/9e-xJ2vQWJkYte68zhQdMZ1n8dOiPpA4QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli, leo amechukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama chake kushiriki katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Rais Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally kwenye Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dodoma.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa fomu hiyo, Rais Magufuli amesema anaanza mapema mchakato wa kutafuta wadhamini ili awahi kurejesha fomu hiyo mapema.
Mwenyekiti huyo wa CCM amesema...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s72-c/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s640/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c4d4e23c-bb9c-4e93-95a9-d28e949311a6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Magufuli achukua fomu ya kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s72-c/LOwassa_fomu2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWTWLyJu9OY/VXCFF71HeLI/AAAAAAABa5w/uN5vo9ct4Jk/s640/Lowassa_fomu.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s72-c/mg.jpg)
BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s400/mg.jpg)
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-u2SNRmXakuI/VW7RgzmyBII/AAAAAAAAeck/IYznAmnXQfw/s72-c/1.jpg)
MH.WASSIRA ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2SNRmXakuI/VW7RgzmyBII/AAAAAAAAeck/IYznAmnXQfw/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2aW72f9Gpno/VW7RhaUs_0I/AAAAAAAAecg/sO5j4tVu0p0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-efnyqPI-2SU/VW7RhpUA-SI/AAAAAAAAecs/czu-Qtigrxg/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EUKT9YN5Tlo/VW7RkPAehKI/AAAAAAAAec4/j1fLHIYpdCo/s640/4.jpg)
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho
Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dr Ali Mohammed Shein kesho anatarajiwa kuchukuwa rasmi form ya kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu. Dr Shein amepangiwa saa […]
The post Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboWAZIRI CHIKAWE ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS KUPITIA C