DK.SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati aliporejesha fomu za kugombea Urais wa Zanzibar katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDK.Shein Arejesha Fomu za kugombea Urais wa Zanzibar leo mjini Unguja
5 years ago
CCM BlogPROF. MAKAME MBARAWA AREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dismas Lyassa arejesha fomu ya kugombea Urais TUCTA
Mhariri wa masuala ya Biashara wa gazeti la Mwananchi na Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (COTWU-T) Tawi la Mwananchi Communications Limited, Dismas Lyassa (kulia) akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) kwa Katibu Mkuu wa COTWU Kanda ya Dar es Salaam, Musa Mwakalinga. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Agosti 4-5, mwaka huu mkoani Dodoma. (Picha na Khamis Tembo).
10 years ago
MichuziNDEREMO ZATAWALA WAKATI Dk.Ali Mohamed Shein AKICHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
10 years ago
MichuziPINDA AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS MJINI DODOMA LEO
10 years ago
VijimamboMAALIMU SEIF AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CUF
5 years ago
MichuziKada wa CCM Mohammed Hija Arejesha Fomu Yake ya Kugombea Urais leo.
Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar akihakiki fomu za Mgombea Urais Mhe. Mohammed Hija wakati akirejesha fomu hizo baada ya kumaliza zoezi la kutafuta wadhamini na kuzijaza, hafla hiyo imefanyika leo Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar akihakiki fomu za Mgombea Urais Mhe. Mohammed Hija wakati akirejesha fomu hizo baada ya kumaliza zoezi la kutafuta wadhamini na kuzijaza, hafla hiyo imefanyika leo Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui...