Diddy aachia Mixtape mpya ‘MMM’ bure kama zawadi ya birthday yake (Isikilize yote)
Jumatano ya November 4 ilikuwa ni birthday ya Sean John Combs maarufu kama Diddy ambaye amefikisha miaka 46.
Katika kusheherekea birthday yake, rapper huyo mkongwe aliamua kuwa-surprise mashabiki wake kwa kuachia mixtape mpya ‘MMM’ (Money Making Mitch) ambayo ameitoa bure kwa yeyote anayetaka kudownload.
“Good Afternoon World!! Today is a big day!!! I am releasing a SONIC MOTION PICTURE, which is FREE and AVAILABLE EVERYWHERE. I want to thank everybody that has supported me over the years...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Trey Songz aachia mixtape mpya ‘Kwa Yeyote Anayehusika’, isikilize yote hapa
![trey](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/trey-300x194.jpg)
Baada ya Chris Brown, Rick Ross, Lil Wayne na wengine kuachia mixtape zao hivi karibuni, Muimbaji wa RnB, Trey Songz na yeye ametoa ya kwake.
Trey Songz ameachia mixtape yake inayoitwa ‘To Whom It May Concern’ (Kwa yeyote anayehusika) kwenye siku yake ya kuzaliwa Nov. 28 ambapo sasa amefikisha umri wa miaka 31.
TO WHOM IT MAY CONCERN TRACKLISTING
1. “Blessed” (prod. by Mano)
2. “Everybody Say” feat. MIKExANGEL and Dave East (prod. by Mano)
3. “Walls” feat. MIKExANGEL and Chisanity (prod. by...
9 years ago
Bongo516 Dec
Music: Wiz Khalifa atoa mixtape mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa!
![wizwizi1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wizwizi1-300x194.jpg)
Staa wa muziki wa Hip Hop Marekani, Wiz Khalifa ameachia mixtape yake mpya ‘Cabin Fever 3’ na kutimiza ahadi kwa mashabiki wake.
Rapper huyo anatarajia kuachia album yake ijayo, Rolling Papers 2 mwakani, 2016.
Cabin Fever 3 ina nyimbo 11 na huu ni muendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2012, Cabin Fever 2.
Kwenye Cabin Fever 3 amewashirikisha wasanii kama Juicy J, K Camp, Kevin Gates, Curren$y, Problem, Chevy Woods na King Los. Producers waliosaidia kukamilisha project hii ni pamoja na TM88,...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-CZ3h9tdiFAc/VChJcUX2MmI/AAAAAAAAMgg/BjiDPT1b1Cw/s72-c/PhotoGrid_1411925803238.jpg)
DIAMOND KUMKABIDHI WEMA SEPETU ZAWADI YA GARI MBILI BMW NA NISSAN MORANO KAMA ZAWADI YA BIRTHDAY YAKE.
![](http://lh4.ggpht.com/-CZ3h9tdiFAc/VChJcUX2MmI/AAAAAAAAMgg/BjiDPT1b1Cw/s640/PhotoGrid_1411925803238.jpg)
na hiki ndicho alichokisema mwanadada zamaradi kuhusiana na zawadi hiyo BIRTHDAY YA MWAKA!!!!!!!!! Hizi ndio zawadi kubwa alizopata WEMA leo.... NISSAN MURRANO na BMW moja kali hatari NYEUPE!!!! Asante mmanyema mwenzangu @diamondplatnumz umefunga watu midomo kudaadeki!!!! Hiyo nyeusi hapo ndio zawadi aliyotoa Diamond kwenda kwa @wemasepetu na zaidi alieleta Kukabidhi ni MAMA DIAMOND!!! how sweeeeeet..... haya sijui jipya lipi tena hapa la kuongea!!!
Utaniazimaga kamoja wema niwe nacruise...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa
Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.
Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...
10 years ago
Bongo Movies29 Sep
Birthday ya Wema jana: Diamond amnunulia gari jipya kama zawadi ya birthday
Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.
Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.
“Nlitama nikupe vingi, wenda...
9 years ago
Bongo528 Nov
Chris Brown aachia mixtape mpya ‘Before The Party’ kwa kushtukiza
![chris-brown-btp](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/chris-brown-btp-300x194.jpg)
Chris Brown amewa-surprise mashabiki wake #TeamBreezy kwa kuachia Mixtape ya kushtukiza ‘Before The Party’ siku ya Ijumaa November 27.
Mixtape hiyo imetoka wiki chache kabla hajaachia rasmi album yake mpya ‘Royalty’ itakayotoka Dec.18.
#BeforeTheParty is available now! This is for you #TeamBreezy! #BlackFriday #Royalty https://t.co/qnGLM4Lznw pic.twitter.com/RCB8XjveAw
— Chris Brown (@chrisbrown) November 27, 2015
‘Before The Party’ ina jumla ya nyimbo 34, zikiwemo collabo ambazo hazikuwahi...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Shabiki wa HipHop? Wiz Khalifa anakuletea hii mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa! – (Audio).
Wiki moja baada ya kuisogeza tracklist ya mixtape yake mpya, Cabin Fever 3 staa wa muziki wa HipHop Marekani, Wiz Khalifa anatimiza ahadi kwa mashabiki wake kwa kuisogeza mixtape hiyo kwenye masikio yetu. Cabin Fever 3 inabeba nyimbo 11 na huu ni muendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2012, Cabin Fever 2… Cabin Fever 3 […]
The post Shabiki wa HipHop? Wiz Khalifa anakuletea hii mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa! – (Audio). appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Nov
Country Boy ajiandaa kuachia mixtape mpya, ‘Kama Ulaya’
![12237581_957038871035116_68731880_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237581_957038871035116_68731880_n-300x194.jpg)
Rapper Country Boy amesema ataachia mixtape mpya hivi karibuni.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa mixtape hiyo ameipa jina, Kama Ulaya.
“Idea ya kuita mixtape ‘Kama Ulaya’ imekuja baada ya kuona mimi ni mtu ambaye nilikuwa nafanya mixtape za mbele yaani ngoma za wasanii wa mbele na zime-hit,” alisema. “Mimi nina uwezo wa kubadilisha ngoma yoyote na unaweza kuona kama mixtape ya Bobby Shmurda, Hot Nigga na Kendrick Lamar ambayo nilifanya kwa style zao zile zile na...