Country Boy ajiandaa kuachia mixtape mpya, ‘Kama Ulaya’
Rapper Country Boy amesema ataachia mixtape mpya hivi karibuni.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa mixtape hiyo ameipa jina, Kama Ulaya.
“Idea ya kuita mixtape ‘Kama Ulaya’ imekuja baada ya kuona mimi ni mtu ambaye nilikuwa nafanya mixtape za mbele yaani ngoma za wasanii wa mbele na zime-hit,” alisema. “Mimi nina uwezo wa kubadilisha ngoma yoyote na unaweza kuona kama mixtape ya Bobby Shmurda, Hot Nigga na Kendrick Lamar ambayo nilifanya kwa style zao zile zile na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Nov
Diddy aachia Mixtape mpya ‘MMM’ bure kama zawadi ya birthday yake (Isikilize yote)
Jumatano ya November 4 ilikuwa ni birthday ya Sean John Combs maarufu kama Diddy ambaye amefikisha miaka 46.
Katika kusheherekea birthday yake, rapper huyo mkongwe aliamua kuwa-surprise mashabiki wake kwa kuachia mixtape mpya ‘MMM’ (Money Making Mitch) ambayo ameitoa bure kwa yeyote anayetaka kudownload.
“Good Afternoon World!! Today is a big day!!! I am releasing a SONIC MOTION PICTURE, which is FREE and AVAILABLE EVERYWHERE. I want to thank everybody that has supported me over the years...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TID katuletea hii single mpya ‘Banjo’ amewashirikisha Country Boy, Bill Nas….(+Audio)
Ni time ya kuisikiliza hii single mpya ya TID iitwayo ‘Banjo’ akiwa amewashirikisha Country Boy na Bill Nas. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye […]
The post TID katuletea hii single mpya ‘Banjo’ amewashirikisha Country Boy, Bill Nas….(+Audio) appeared first on...
9 years ago
Bongo514 Nov
Darassa: Kuachia redioni wimbo wa kwenye mixtape ni udhaifu
Rapper Darassa amesema kama angeamua kutoa wimbo kutoka kwenye mixtape yake kama wimbo rasmi, angeonesha udhaifu mkubwa.
Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo alisema ana uwezo wa kutengeneza nyimbo nyingi kali na nyimbo za mixtape zitabaki kuchezwa mtaani peke yake.
“Kweli mixtape yangu watu wanaipenda sana na kila wakisikiliza napata comments zao, lakini maana ya kufanya mixtape ni kuonesha mashabiki wangu nina uwezo kiasi gani wa kufanya chochote kwenye...
11 years ago
Michuzi13 Aug
9 years ago
Bongo503 Nov
Lil Wayne atangaza tarehe ya kuachia mixtape yake ‘No Ceilings 2’
Rapper Lil Wayne ametangaza tarehe atakayoachia mixtape yake ya ‘No Ceilings 2’ ambayo ni mwendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2009 ‘No Ceilings’.
Kupitia Twitter rapper huyo alishare covert ya mixtape hiyo ambayo amesema itatoka Nov. 26.
Tayari kuna nyimbo mpya ambazo Lil Wayne amekuwa akiziperform kwenye shows.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
9 years ago
Bongo517 Dec
Timbaland kuachia mixtape yake Dec 25, itakuwa na wimbo wa Aaliyah ambao haujawahi kusikika
Producer mkongwe ambaye pia ni rapper, Timbaland ametangaza ujio wa mixtape yake mpya ‘King Stays King’ ambayo anatarajia kuiachia kwenye sikukuu ya Krismas Dec.25 mwaka huu.
Miongoni mwa nyimbo zitakazokuwemo kwenye mixtape hiyo ni pamoja na wimbo mpya wa muimbaji wa RnB marehemu Aaliyah ambao haukuwahi kutoka wala kusikika.
Mixtape hiyo itakayokuwa na nyimbo 16 itakuwa na nyimbo walizoshirikisha Young Thug, Rich Homie Quan, Mila J pamoja na Blaze.
“It’s been a while since I’ve been able...
10 years ago
GPLCOUNTRY BOY: KAJALA ALINITOA KIMUZIKI
10 years ago
GPLCOUNTRY BOY ATUA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Bongo511 Nov
Music: Mapua Ft Country Boy — Sielewi
Rapper anaetambulika kwa jina Mapua ameachia wimbo mpya, Unaitwa “Sielewi”. Amemshirikisha Country Boy Produced by Mo Fire Fire Music.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!