introducing Pilot Boy-Friends Corner (Mixtape.Noiz)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s72-c/coastal.jpg)
Coastal Union kukipiga na Friends Corner kesho Iddi Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s320/coastal.jpg)
Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Iddi Pili kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni muendelezo wa mechi za kujipima nguvu kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho kwa ajili ya mashindano ya Ligi kuu yajayo.
Maandalizi ya kuelekea mechi hiyo yamekamilika kwa asilimia kubwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s72-c/unnamed+(13).jpg)
JULIAS KISARAWE KUMVAA MOROBEST LEO FRIENDS CORNER MANZESE
![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
Michuzi14 Apr
introducing RG Unit-Kula kwa Macho (NOIZ)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JmZptuyJAfE/VDm1YJPvdLI/AAAAAAAGpbI/yBocRmJPYUs/s72-c/SUPER%2BD%2BTANGAZOLL.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mabondia Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika January 2/2016 ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.
Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano huo, Rajabu...
10 years ago
Michuzi03 Jun
10 years ago
Michuzi07 Jan
10 years ago
Vijimambo18 Oct
BONDIA SAID MBELWA AMCHIMBIA MKWALA GEORGE DIMOSO MPAMBANO WA OCTOBER 25 FRIENDS CORNER MANZESE
![](https://3.bp.blogspot.com/-DLn79XKpNQ8/VDYmp9YtO6I/AAAAAAAAGak/WHZUKKKoRmo/s1600/SUPER%2BD%2BTANGAZO%2Bcopy.jpg)
BONDIA Said Mbelwa mwenye rekodi ya kushinda 27,kupigwa16 na drawn 4 ambapo ana jumla ya mapambano 48 aliyocheza ameapa kumchakaza mpinzani wake george Dimoso mwenye rekodi ya kushinda mapambano 11kupigwa ,10 , drawn 2 na jumla ya michezo aliocheza ni 23
siku ya October 25 katika ukumbi wa friends Corner manzese jijini Dar es salaam
akizungumzia mpambano huo Mbelwa ambaye alikuwa kimya kidogo mda mrefu kutokana na kufungiwa baada ya kumpiga bondia Kalama Nyilawila kwa kupiga mateke...
9 years ago
Bongo514 Nov
Country Boy ajiandaa kuachia mixtape mpya, ‘Kama Ulaya’
![12237581_957038871035116_68731880_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237581_957038871035116_68731880_n-300x194.jpg)
Rapper Country Boy amesema ataachia mixtape mpya hivi karibuni.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa mixtape hiyo ameipa jina, Kama Ulaya.
“Idea ya kuita mixtape ‘Kama Ulaya’ imekuja baada ya kuona mimi ni mtu ambaye nilikuwa nafanya mixtape za mbele yaani ngoma za wasanii wa mbele na zime-hit,” alisema. “Mimi nina uwezo wa kubadilisha ngoma yoyote na unaweza kuona kama mixtape ya Bobby Shmurda, Hot Nigga na Kendrick Lamar ambayo nilifanya kwa style zao zile zile na...