Coastal Union kukipiga na Friends Corner kesho Iddi Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s72-c/coastal.jpg)
MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania bara mwaka 1988 Coastal Union ya Tanga kesho Iddi Pili inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na timu ya Friends Corner ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu mpya wa Ligi kuu soka Tanzania bara.
Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Iddi Pili kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni muendelezo wa mechi za kujipima nguvu kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho kwa ajili ya mashindano ya Ligi kuu yajayo.
Maandalizi ya kuelekea mechi hiyo yamekamilika kwa asilimia kubwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s72-c/Asha-Kigundula1.jpg)
Friends Rangers kukipiga na Kimondo katika uwanja wa Karume Kesho
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s1600/Asha-Kigundula1.jpg)
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza katika kundi A, timu ya Friends Rangers, kesho wanashuka katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuvaana na timu ya Kimondo, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.
Ofisa Habari wa klabu hiyo, Asha Kigundula, amewataka wapenzi wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo, kuwapa hamasa wachezaji wao. Kigundula alisema kuwa wana amini mchezo huo utakuwa mgumu, lakini kujitokeza kwa wapenzi wengi kutawafanya wachezaji wao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s72-c/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
friends rangers kukipiga na ndanda fc uwanja wa makurumla magomeni mwembechai kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s1600/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3J4yygCW4E/VVbtHX6RzzI/AAAAAAAHXiM/hMAq4PXY-FE/s72-c/coastal.jpg)
MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI HAPA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3J4yygCW4E/VVbtHX6RzzI/AAAAAAAHXiM/hMAq4PXY-FE/s640/coastal.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3J4yygCW4E/VVbtHX6RzzI/AAAAAAAHXiM/hMAq4PXY-FE/s72-c/coastal.jpg)
MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI TANGA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3J4yygCW4E/VVbtHX6RzzI/AAAAAAAHXiM/hMAq4PXY-FE/s640/coastal.jpg)
11 years ago
Michuzi13 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s72-c/unnamed+(13).jpg)
JULIAS KISARAWE KUMVAA MOROBEST LEO FRIENDS CORNER MANZESE
![](http://1.bp.blogspot.com/-p16rfN_qhtM/U5Jnhy0MD8I/AAAAAAAFoPQ/GKM3b2dQ4us/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JmZptuyJAfE/VDm1YJPvdLI/AAAAAAAGpbI/yBocRmJPYUs/s72-c/SUPER%2BD%2BTANGAZOLL.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mabondia Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika January 2/2016 ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.
Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano huo, Rajabu...