MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI TANGA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3J4yygCW4E/VVbtHX6RzzI/AAAAAAAHXiM/hMAq4PXY-FE/s72-c/coastal.jpg)
MKUTANO Mkuu wa Dharura wa Wanachama wa Klabu ya Coastal Union unatarajiwa kufanyika kesho Mei 17 mwaka huu kwenye ukumbi wa Bwalo la Polisi mjini Tanga.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3J4yygCW4E/VVbtHX6RzzI/AAAAAAAHXiM/hMAq4PXY-FE/s72-c/coastal.jpg)
MKUTANO MKUU WA DHARURA WA WANACHAMA COASTAL UNION KUFANYIKA KESHO JUMAPILI KWENYE UKUMBI WA BWALO LA POLISI MKOANI HAPA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3J4yygCW4E/VVbtHX6RzzI/AAAAAAAHXiM/hMAq4PXY-FE/s640/coastal.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s72-c/coastal.jpg)
TFF yaiagiza Klabu ya Coastal Union kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama
![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s1600/coastal.jpg)
Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine ameiandikia barua Klabu ya Coastal Union akiiagiza klabu hiyo kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama tarehe 17 Mei mwaka 2015.
Matokeo ya maamuzi haya yamepatikana baada ya kikao cha usuluhishi cha amani kilichoongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Ahmed Iddi Mgoi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fw1K7PdqaVI/VVxLX5vzWLI/AAAAAAAHYbA/wOPpx-kqi2w/s72-c/images.jpeg)
UCHAGUZI MKUU COASTAL UNION KUFANYIKA JULAI 5
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fw1K7PdqaVI/VVxLX5vzWLI/AAAAAAAHYbA/wOPpx-kqi2w/s400/images.jpeg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Melchesedek Lutema ametoa ratiba ya mchakato mzima wa uchaguzi huo, ambapo tarehe 21-22 Mei mwaka huu zitatangazwa nafasi zote zinazogombewa.
Kwa mujibu wa kalenda hiyo ya Uchaguzi, tarehe 23-30, Mei 2015 itakua ni kipindi cha uchukuaji fomu kwa wagombea wote na kuzirudisha, wakati...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA JULIUS NYERERE-DAR
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkutano wa amani, umoja na utulivu wa nchi utakaofanyika kuanzia leo na kesho ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa, serikali, dini, asasi za kiraia na wazee. Kulia ni Msaidizi wa mkurugenzi...
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu
MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa
habari mkoani humo kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu mkoani hapa
WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mtibwa Sugar yarudi kileleni, Coastal Union yashikwa Tanga
Mtibwa Sugar imereja kileleni mwa Ligi Kuu pamoja na kulazimishwa sare 1-1 na JKT Ruvu jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s72-c/W3.jpg)
Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s640/W3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W87GdMd-xbA/VRq-x07IeDI/AAAAAAABqSA/rG7r7p5GINY/s640/W%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvvUTJvIL4E/VRq-1KjGDUI/AAAAAAABqSI/rFbtDFPl3mA/s640/W%2B1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania