introducing RG Unit-Kula kwa Macho (NOIZ)
Kundi chipukizi, RG Unit linalowakilisha vyema katika bongofleva wanadrop "Kula kwa Macho" ngoma ya miondoko ya Dancehall toka Noizmekah Production Studios
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi13 Aug
10 years ago
Michuzi07 Jan
10 years ago
Michuzi03 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s72-c/1036.jpg)
Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s640/1036.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V1UQiJ_mNtc/VPdgJn3vryI/AAAAAAABnDM/zPWV8-VZLwQ/s640/1031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RMNp-NXmTOY/VPdgKSJSpbI/AAAAAAABnDU/hEyIWj4H6do/s640/1005.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS580PTZPk4C15rBIzP*TL-o1VxB4z9U4A3y3x8DT99tMvYUgPhLVP3WGULgHROEtCSJ3lfdi0QTBKQvOo-wTubD/kipchacopy7770.gif?width=650)
MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!
Niaje…niaje watu wa Mungu? Tupo vizuri…si ndiyo eeh. Basi sawa kozi kona hii ni mzuksi kinomanoma. Ama nene? Basi ni mpango mzima wana. Hapa ni mwendo wa kusanuka na kama vipi ukiona spidi ni kubwa unaruhusiwa kuomba poo. Usijidai kukomaa utapasuka bure. Huu mziki mnene wazazi. Tudei bana ngoja tupige mastori moo ya masela wa tauni. Najua samu pipo tena makachaa wangu kabisa dizaini kama watanimaindi bati kama mbwai...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
‘Changa la macho’ hadi kwa wachezaji!
Nakumbukuka sehemu ya hotuba moja ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alisema kuna zuzu kauziwa almasi feki halafu anaondoka, alikuwa na almasi akadanganywa akaambiwa, almasi siyo hii, almasi ni hii. Kumbe ni chupa.
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Macho yote kwa Arsenal, Chelsea
Kipa Petr Cech amesisitiza Arsenal itasahau yaliyotokea katika Ligi ya Mabingwa kwa kushinda mchezo wao dhidi ya Tottenham Hotspur, huku Jose Mourinho akiwa na furaha kidogo wakati Chelsea itakapokuwa ugenini kuivaa Stoke.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-j5aGc9Ud01o/U2tE3agyPCI/AAAAAAACnV4/AmfZApjFAGQ/s72-c/mbu.png)
Wagonjwa wa malaria wapimwa kwa macho
![](http://3.bp.blogspot.com/-j5aGc9Ud01o/U2tE3agyPCI/AAAAAAACnV4/AmfZApjFAGQ/s640/mbu.png)
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika zahanati ya Mtepeche kata ya Kilimani Hewa, tarafa ya Nambambo na zahanati ya Kihuwe kata ya Naipingo, tarafa ya Naipanga wilaya ya Nachingwea, umebaini kuwepo kwa tatizo hilo.
Waganga wa zahanati hizo, walisema kukosekana kwa vipimo vya kupimia...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Macho yote CCM kwa Warioba leoÂ
MACHO na masikio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yatakuwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, kuona kama mapendekezo yao ya kupinga muundo wa muungano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania