Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing RG Unit-Kula kwa Macho (NOIZ)

Kundi chipukizi, RG Unit linalowakilisha vyema katika bongofleva wanadrop "Kula kwa Macho" ngoma ya miondoko ya Dancehall toka Noizmekah Production Studios

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar

Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo mtoto Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka...

 

10 years ago

GPL

MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!

Niaje…niaje watu wa Mungu? Tupo vizuri…si ndiyo eeh. Basi sawa kozi kona hii ni mzuksi kinomanoma. Ama nene? Basi ni mpango mzima wana. Hapa ni mwendo wa kusanuka na kama vipi ukiona spidi ni kubwa unaruhusiwa kuomba poo. Usijidai kukomaa utapasuka bure. Huu mziki mnene wazazi. Tudei bana ngoja tupige mastori moo ya masela wa tauni. Najua samu pipo tena makachaa wangu kabisa dizaini kama watanimaindi bati kama mbwai...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Changa la macho’ hadi kwa wachezaji!

Nakumbukuka sehemu ya hotuba moja ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alisema kuna zuzu kauziwa almasi feki halafu anaondoka, alikuwa na almasi akadanganywa akaambiwa, almasi siyo hii, almasi ni hii. Kumbe ni chupa.

 

9 years ago

Mwananchi

Macho yote kwa Arsenal, Chelsea

Kipa Petr Cech amesisitiza Arsenal itasahau yaliyotokea katika Ligi ya Mabingwa kwa kushinda mchezo wao dhidi ya Tottenham Hotspur, huku Jose Mourinho akiwa na furaha kidogo wakati Chelsea itakapokuwa ugenini kuivaa Stoke.

 

10 years ago

Vijimambo

Wagonjwa wa malaria wapimwa kwa macho

Ukosefu wa vifaa tiba katika baadhi ya zahanati na vituo vya afya vya Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, umewalazimu wauguzi wa vituo hivyo kuwatibu wagonjwa wa malaria kwa kutumia uzoefu wa kuwaangalia.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika zahanati ya Mtepeche kata ya Kilimani Hewa, tarafa ya Nambambo na zahanati ya Kihuwe kata ya Naipingo, tarafa ya Naipanga wilaya ya Nachingwea, umebaini kuwepo kwa tatizo hilo.

Waganga wa zahanati hizo, walisema kukosekana kwa vipimo vya kupimia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Macho yote CCM kwa Warioba leo 

MACHO na masikio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yatakuwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji mstaafu Joseph Warioba, kuona kama mapendekezo yao ya kupinga muundo wa muungano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani