MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!
![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS580PTZPk4C15rBIzP*TL-o1VxB4z9U4A3y3x8DT99tMvYUgPhLVP3WGULgHROEtCSJ3lfdi0QTBKQvOo-wTubD/kipchacopy7770.gif?width=650)
Niaje…niaje watu wa Mungu? Tupo vizuri…si ndiyo eeh. Basi sawa kozi kona hii ni mzuksi kinomanoma. Ama nene? Basi ni mpango mzima wana. Hapa ni mwendo wa kusanuka na kama vipi ukiona spidi ni kubwa unaruhusiwa kuomba poo. Usijidai kukomaa utapasuka bure. Huu mziki mnene wazazi. Tudei bana ngoja tupige mastori moo ya masela wa tauni. Najua samu pipo tena makachaa wangu kabisa dizaini kama watanimaindi bati kama mbwai...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Dec
Video/Picha: Davido na Wizkid wakutana uso kwa uso na kula bata pamoja
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Jerome kula bata jukwaani Yanga
Na Nicodemus Jonas
KIUNGO Jerome Sina anayefanya majaribio Yanga, ataendelea kubaki katika klabu hiyo pengine hadi katika usajili wa Juni mwakani ndipo jina lake liidhinishwe acheze Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Awali Yanga ilimpokea Sina kwa majaribio huku ikipiga hesabu za kumsajili kwa ajili ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika lakini timu hiyo haikulijumuisha jina lake kwenda Caf.
Badala yake klabu hiyo imepeleka majina ya nyota wake saba wa kigeni na wengine wazawa ili wacheze michuano hiyo...
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Julio atoa ruksa wachezaji kula bata
Kocha Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.
Martha Mboma, Dar es Salaam
BAADA ya ligi kusimama kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi, Kocha Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amefunguka kuwa kwa sasa ni ruksa wachezaji wake kwenda mapumziko.
Mwadui ambayo inashika nafasi ya tano ikiwa na pointi 22 nyuma ya Simba ambao wana alama 24, ikiwa ni msimu wake wa kwanza baada ya kushuka miaka kadhaa iliyopita mchezo wake wa mwisho ilitoka sare ya bao 1-1 na vijana hao wa...
10 years ago
GPLBAADA YA KULA BATA NA BENZEMA RIHANNA AREJEA NYUMBANI!
10 years ago
Bongo521 Oct
Unataka kula bata na Akon jijini New York? Soma hapa
10 years ago
Bongo520 Aug
Picha: Belle 9 aenda Ujerumani kula bata na warembo wa kizungu
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-owHi94nc9-c/VZn7xM8cTJI/AAAAAAADwwk/C6Y-KtctV6Q/s72-c/FullSizeRender.jpg)
DALLAS WE ACHA TU NI KULA BATA MPAKA KUKU WANAONA WIVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-owHi94nc9-c/VZn7xM8cTJI/AAAAAAADwwk/C6Y-KtctV6Q/s640/FullSizeRender.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AGPVMss2gFw/VZn7xJPofpI/AAAAAAADwwg/V2KTbgQl34s/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xb8qoKgt_e4/VZn7xB8j1cI/AAAAAAADww0/LsXdYv4sArk/s640/FullSizeRender_2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0amyU4BLGNk/Vkv2Qu-6iSI/AAAAAAAAJMM/qOgmVVxutm0/s72-c/Daraja%2Bla%2Bmbweni%2Bjkt.jpg)
Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT ni furaha kwa wananchi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0amyU4BLGNk/Vkv2Qu-6iSI/AAAAAAAAJMM/qOgmVVxutm0/s640/Daraja%2Bla%2Bmbweni%2Bjkt.jpg)
Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...
10 years ago
Vijimambo11 May
HERI KUPENDWA KULIKO MAUMIVU YA KUPENDA!
![](http://api.ning.com/files/t3ZSopUVDgYFh0aXOVLrLPDGllX8tStdOL7upOaFol3-1kWoxaLhPAYgZCerNjtf1bbGetSAPZC2K0v-e-6oXA4qY*Hbwpoe/blackcoupleinbedpf1.jpg)
Ikiwa...