Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANA HERI KULA MCHICHA KWA FURAHA KULIKO BATA KWA KARAHA!

Niaje…niaje watu wa Mungu? Tupo vizuri…si ndiyo eeh. Basi sawa kozi kona hii ni mzuksi kinomanoma. Ama nene? Basi ni mpango mzima wana. Hapa ni mwendo wa kusanuka na kama vipi ukiona spidi ni kubwa unaruhusiwa kuomba poo. Usijidai kukomaa utapasuka bure. Huu mziki mnene wazazi. Tudei bana ngoja tupige mastori moo ya masela wa tauni. Najua samu pipo tena makachaa wangu kabisa dizaini kama watanimaindi bati kama mbwai...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video/Picha: Davido na Wizkid wakutana uso kwa uso na kula bata pamoja

Hatimaye mastaa wa Nigeria Davido na Wizkid wamethibitisha hadharani kuwa sasa hali ni shwari kati yao, baada ya kukutana uso kwa uso na kuonesheana upendo kwa kukumbatiana huku kila mmoja akionesha kufurahia kukutana kwao. Wizkid na Davido wamekutana weekend iliyopita katika Escape night club huko Ilorin, Nigeria ambapo walikula bata pamoja katika club hiyo.

 

9 years ago

Global Publishers

Jerome kula bata jukwaani Yanga

Sina-JeromeNa Nicodemus Jonas

KIUNGO Jerome Sina anayefanya majaribio Yanga, ataendelea kubaki katika klabu hiyo pengine hadi katika usajili wa Juni mwakani ndipo jina lake liidhinishwe acheze Ligi Kuu Bara msimu ujao.

Awali Yanga ilimpokea Sina kwa majaribio huku ikipiga hesabu za kumsajili kwa ajili ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika lakini timu hiyo haikulijumuisha jina lake kwenda Caf.

Badala yake klabu hiyo imepeleka majina ya nyota wake saba wa kigeni na wengine wazawa ili wacheze michuano hiyo...

 

9 years ago

Global Publishers

Julio atoa ruksa wachezaji kula bata

JulioKihwelu.jpgKocha Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.

Martha Mboma, Dar es Salaam

BAADA ya ligi kusimama kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi, Kocha Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amefunguka kuwa kwa sasa ni ruksa wachezaji wake kwenda mapumziko.

Mwadui ambayo inashika nafasi ya tano ikiwa na pointi 22 nyuma ya Simba ambao wana alama 24, ikiwa ni msimu wake wa kwanza baada ya kushuka miaka kadhaa iliyopita mchezo wake wa mwisho ilitoka sare ya bao 1-1 na vijana hao wa...

 

10 years ago

GPL

BAADA YA KULA BATA NA BENZEMA RIHANNA AREJEA NYUMBANI!

Staa wa Pop, Rihanna. Los Angeles, Marekani
BAADA ya kula ‘bata’ na mwanasoka kutoka Real Madrid, Karim Benzema,staa wa Pop, Rihanna ameamua kurejea nyumbani kwake. Juzikati, Rihanna alinaswa katika Uwanja wa Ndege wa LAX pande za Los Angeles akiwa ndani ya suruali ya kijeshi na jaketi jeusi tayari kupanda ndege kuelekea kwake, New York.Rihanna 27,alilipotiwa kuwa katika uhusiano na Benzema ambapo hivi karibuni...

 

10 years ago

Bongo5

Unataka kula bata na Akon jijini New York? Soma hapa

Ni kama zali vile.. Piga 0901002233 na unaweza kwenda majuu na kula bata na Akon jijini New York! #AirtelTraceStar

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Belle 9 aenda Ujerumani kula bata na warembo wa kizungu

Huenda wasanii wengi ambao hawapo kwenye orodha ya ziara za Fiesta na Kili Music Tour wapo kwenye stress kianina fulani. Hata hivyo msanii wa muziki anayetamba na wimbo ‘Wanitaka’ Belle 9 ambaye naye ni mmoja wao, ameamua kuzindoa (kama naye anazo) kwa kusafiri kidogo kwenda nchini Ujerumani kula bata na watoto wazuri, walau kusahau purukushani […]

 

10 years ago

Vijimambo

DALLAS WE ACHA TU NI KULA BATA MPAKA KUKU WANAONA WIVU

 Wadau wakiwa wamekutana kwenye mgahawa wa Africa Fusion uliopo Dallas, Texas kupata menyu siku ya Jumamosi July 4, 2015 Wadau wakipata picha ya pamoja ndani ya mgahawa wa Africa Fusion. Andrew(kulia) akipaya picha na Mpwa. Wadau wa Dallas wakiwa kwenye nyama choma siku ya Jumapili July 5, 2015. Wadau wa Dallas wakipata picha ya pamoja. kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

9 years ago

Michuzi

Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT ni furaha kwa wananchi

Daraja lililokuwa linawasumbua mno wakazi na wananchi wa Mbweni JKT, sasa linaelekea mwishoni, hali iliyoanza kuwafurahisha wananchi hao waliokuwa wakisumbuka kuvuka eneo hilo lililokuwa linajaa maji mara kwa mara yanayotoka baharini.

Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...

 

10 years ago

Vijimambo

HERI KUPENDWA KULIKO MAUMIVU YA KUPENDA!

Ni Jumatatu nyingine ambayo tunakutana tena katika kilinge hiki cha XXLove tunachokitumia kuelimishana masuala ya mapenzi. Katika suala la uhusiano wa kimapenzi ni vigumu sana kujikuta mwanamke na mwanaume mkipendana kwa 100%. Ila ni rahisi mno kwa mmoja wenu kumpenda mwenza wake kwa asilimia zikaribiazo 100. Hata kama mmoja akipenda kwa asilimia mia moja na kumshawishi mwingine, ni nadra kwa ulimwengu wa sasa kuwakuta wapenzi ambao kila mmoja anampenda mwenzake kwa asilimia mia moja.

Ikiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani