Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADA YA KULA BATA NA BENZEMA RIHANNA AREJEA NYUMBANI!

Staa wa Pop, Rihanna. Los Angeles, Marekani
BAADA ya kula ‘bata’ na mwanasoka kutoka Real Madrid, Karim Benzema,staa wa Pop, Rihanna ameamua kurejea nyumbani kwake. Juzikati, Rihanna alinaswa katika Uwanja wa Ndege wa LAX pande za Los Angeles akiwa ndani ya suruali ya kijeshi na jaketi jeusi tayari kupanda ndege kuelekea kwake, New York.Rihanna 27,alilipotiwa kuwa katika uhusiano na Benzema ambapo hivi karibuni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JK arejea nyumbani baada ya ziara ya Uingereza na Ubelgiji

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki baada ya kuwasili leo April 4, 2014 katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Brussels, Ubelgiji, alikofanya ziara ya kikazi ya siku mbili na kuhudhuria mkutano wa mataifa ya Afrika na nchi za Jumuiya ya Ulaya. Kabla ya hapo Rais Kikwete alifanya zaiara ya kiserikali ya siku tatu nchini Uingereza kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe David Camaron. PICHA NA IKULU

 

10 years ago

Vijimambo

JK AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA RASMI YA KISERIKALI NCHINI AUSTRALIA



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 akitokea Australia alikozuru kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara rasmi ya kiserikali nchini Australia

a1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 mara baada ya kurejea kutoka  Australia kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo  Mheshimiwa Peter Cosgrove.

a2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA NCHINI RWANDA LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi baada ya kuwasili uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam jioni leo Machi 7, 2015 akitokea Kigali Rwanda, alikoalikwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. 

Wakati akiwa Kigali, miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete ameudhuria mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi kujadili...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI USIKU HUU BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KIKAZI YA USWISI

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mfanyakazi wa Shirika la Ndege la Uswisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam mara baada ya kurejea nyumbani baada ya ziara ya kikazi mjini GenevaRais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam mara baada ya kurejea nyumbani baada ya ziara ya kikazi mjini Geneva. PICHA NA IKULU
Akiwa mjini Geneva, Rais Kikwete ameongoza vikao vya  Jopo la Kimataifa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

IS RIHANNA DATING KARIM BENZEMA OR LEWIS HAMILTON !?


Who is the apple of Rihanna's eye right now? Well, it seems to be more than one person.
There's been a lot of speculation surrounding the sexy singer's love life as of late, because RiRi has been spotted out and about with multiple men. Most recently, the Barbados beauty was rumored to be sparking a romance with Formula One race car driver Lewis Hamilton (yes, Nicole Scherzinger's ex).But an insider had previously told us that "Rihanna is still hanging out with Karim[Benzema] at the...

 

10 years ago

Bongo5

Tetesi za uhusiano kati ya Rihanna na Benzema zazidi kukua, waonekana tena pamoja

Mambo yanazidi kupamba moto kati ya Rihanna na mchezaji wa soka wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema. Wawili hao wameonekana wakila bata pamoja kwenye klabu ya Hollywood usiku wa Jumatatu. Kwa mujibu wa TMZ wawili hao walionekana wakitoka kwenye kiota cha Henry’s na ingawa kila mmoja alitoka kivyake, ilikuwa wazi kuwa walikuwa pamoja. Hiyo […]

 

9 years ago

Global Publishers

Jerome kula bata jukwaani Yanga

Sina-JeromeNa Nicodemus Jonas

KIUNGO Jerome Sina anayefanya majaribio Yanga, ataendelea kubaki katika klabu hiyo pengine hadi katika usajili wa Juni mwakani ndipo jina lake liidhinishwe acheze Ligi Kuu Bara msimu ujao.

Awali Yanga ilimpokea Sina kwa majaribio huku ikipiga hesabu za kumsajili kwa ajili ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika lakini timu hiyo haikulijumuisha jina lake kwenda Caf.

Badala yake klabu hiyo imepeleka majina ya nyota wake saba wa kigeni na wengine wazawa ili wacheze michuano hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani