BAADA YA KULA BATA NA BENZEMA RIHANNA AREJEA NYUMBANI!
Staa wa Pop, Rihanna. Los Angeles, Marekani BAADA ya kula ‘bata’ na mwanasoka kutoka Real Madrid, Karim Benzema,staa wa Pop, Rihanna ameamua kurejea nyumbani kwake. Juzikati, Rihanna alinaswa katika Uwanja wa Ndege wa LAX pande za Los Angeles akiwa ndani ya suruali ya kijeshi na jaketi jeusi tayari kupanda ndege kuelekea kwake, New York.Rihanna 27,alilipotiwa kuwa katika uhusiano na Benzema ambapo hivi karibuni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XUWPVtPhcMs/Uz8blalnoqI/AAAAAAAFYqA/C9R1oAinXO4/s72-c/IMG_7350.jpg)
JK arejea nyumbani baada ya ziara ya Uingereza na Ubelgiji
![](http://4.bp.blogspot.com/-XUWPVtPhcMs/Uz8blalnoqI/AAAAAAAFYqA/C9R1oAinXO4/s1600/IMG_7350.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CFUv0c0dDEQ/Vb4eRpje1SI/AAAAAAAAW-w/0heScTWLDzU/s72-c/a2.jpg)
JK AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA RASMI YA KISERIKALI NCHINI AUSTRALIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CFUv0c0dDEQ/Vb4eRpje1SI/AAAAAAAAW-w/0heScTWLDzU/s640/a2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 akitokea Australia alikozuru kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T_XyzaLoVH8/Vb4c9gDw7nI/AAAAAAAAW-k/q_B_N8s-TaU/s640/a1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa...
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara rasmi ya kiserikali nchini Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 mara baada ya kurejea kutoka Australia kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s72-c/j1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA NCHINI RWANDA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s1600/j1.jpg)
Wakati akiwa Kigali, miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete ameudhuria mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi kujadili...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mjHkxuyKA6s/VarU4tqZbpI/AAAAAAAHqbM/Cc_N1JJHqUk/s72-c/IMGL2894.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI USIKU HUU BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KIKAZI YA USWISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-mjHkxuyKA6s/VarU4tqZbpI/AAAAAAAHqbM/Cc_N1JJHqUk/s640/IMGL2894.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8imbDz-RZBI/VarU5G-25GI/AAAAAAAHqbQ/WA5NJcAsX5I/s640/IMGL2928.jpg)
Akiwa mjini Geneva, Rais Kikwete ameongoza vikao vya Jopo la Kimataifa...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s72-c/rihanna.jpg)
IS RIHANNA DATING KARIM BENZEMA OR LEWIS HAMILTON !?
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s1600/rihanna.jpg)
There's been a lot of speculation surrounding the sexy singer's love life as of late, because RiRi has been spotted out and about with multiple men. Most recently, the Barbados beauty was rumored to be sparking a romance with Formula One race car driver Lewis Hamilton (yes, Nicole Scherzinger's ex).But an insider had previously told us that "Rihanna is still hanging out with Karim[Benzema] at the...
10 years ago
Bongo510 Jun
Tetesi za uhusiano kati ya Rihanna na Benzema zazidi kukua, waonekana tena pamoja
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Jerome kula bata jukwaani Yanga
Na Nicodemus Jonas
KIUNGO Jerome Sina anayefanya majaribio Yanga, ataendelea kubaki katika klabu hiyo pengine hadi katika usajili wa Juni mwakani ndipo jina lake liidhinishwe acheze Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Awali Yanga ilimpokea Sina kwa majaribio huku ikipiga hesabu za kumsajili kwa ajili ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika lakini timu hiyo haikulijumuisha jina lake kwenda Caf.
Badala yake klabu hiyo imepeleka majina ya nyota wake saba wa kigeni na wengine wazawa ili wacheze michuano hiyo...