Tetesi za uhusiano kati ya Rihanna na Benzema zazidi kukua, waonekana tena pamoja
Mambo yanazidi kupamba moto kati ya Rihanna na mchezaji wa soka wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema. Wawili hao wameonekana wakila bata pamoja kwenye klabu ya Hollywood usiku wa Jumatatu. Kwa mujibu wa TMZ wawili hao walionekana wakitoka kwenye kiota cha Henry’s na ingawa kila mmoja alitoka kivyake, ilikuwa wazi kuwa walikuwa pamoja. Hiyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Aug
Drake na Rihanna warudiana? waonekana night club pamoja
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s72-c/rihanna.jpg)
IS RIHANNA DATING KARIM BENZEMA OR LEWIS HAMILTON !?
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yi-f6tszqPk/VcIzyS_dv_I/AAAAAAAADKI/h5LKy9fzBFM/s1600/rihanna.jpg)
There's been a lot of speculation surrounding the sexy singer's love life as of late, because RiRi has been spotted out and about with multiple men. Most recently, the Barbados beauty was rumored to be sparking a romance with Formula One race car driver Lewis Hamilton (yes, Nicole Scherzinger's ex).But an insider had previously told us that "Rihanna is still hanging out with Karim[Benzema] at the...
10 years ago
GPLBAADA YA KULA BATA NA BENZEMA RIHANNA AREJEA NYUMBANI!
11 years ago
Bongo512 Jul
Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uhusiano kati ya Korea Kusini na Kaskazini: Nini chanzo cha Uhasama uliopo kati ya mataifa haya
9 years ago
Bongo528 Oct
Future akanusha tetesi za kuwa na uhusiano na Blac Chyna!
9 years ago
Bongo524 Nov
Rose Ndauka ajibu tetesi za kuwa na uhusiano na Shetta
![11208267_1018831591463131_2026634416_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11208267_1018831591463131_2026634416_n-300x194.jpg)
Baada ya kuenea tetesi kuwa mke wa Shetta ‘Neila Yusuf’ anadai talaka kwa mume wake kutokana na Rose Ndauka kuingilia ndoa yao, Ndauka amevunja ukimya.
Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi, Ndauka alikanusha kuwahi kuwa na uhusiano na rapper huyo.
“Kuna siku nilikuwa kwa Diamond, Mama Kayla alikuwepo, kwahiyo akawa amenifuata kunisalimia, Dareen akawa ananiambia umemuona ‘mama Kayla?’ Nikamwambia yupo wapi? akaniambia ndio huyu hapa! Nikawa nacheka nikamwambia ‘mambo’, nikamwambia nasikia...
10 years ago
Mtanzania15 May
Drake ajiweka tena kwa Rihanna
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
BAADA ya kuwa katika uhusiano kwa muda mfupi na kisha kuachana, mwana hip hop kutoka kundi la Young Money, Aubrey Graham ‘Drake’ na msanii Rihanna wanaelezwa kurudiana upya, baada ya kuonekana maeneo mbalimbali wakifurahia umoja wao.
Miaka miwili iliyopita Drake aligombana na Chris Brown baada ya msanii huyo kuwa na uhusiano na Rihanna, wakati akijua kwamba mwanadada huyo alikuwa na uhusiano na Chris.
Ukubwa wa mgogoro huo ulifikia kipindi walirushiana chupa wakiwa...