Drake ajiweka tena kwa Rihanna
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
BAADA ya kuwa katika uhusiano kwa muda mfupi na kisha kuachana, mwana hip hop kutoka kundi la Young Money, Aubrey Graham ‘Drake’ na msanii Rihanna wanaelezwa kurudiana upya, baada ya kuonekana maeneo mbalimbali wakifurahia umoja wao.
Miaka miwili iliyopita Drake aligombana na Chris Brown baada ya msanii huyo kuwa na uhusiano na Rihanna, wakati akijua kwamba mwanadada huyo alikuwa na uhusiano na Chris.
Ukubwa wa mgogoro huo ulifikia kipindi walirushiana chupa wakiwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo520 Aug
Drake na Rihanna warudiana? waonekana night club pamoja
11 years ago
Bongo510 Aug
Rihanna awadiss Drake na Chris Brown, asema Eminem ndiye mwanaume wa kweli
9 years ago
Bongo529 Dec
Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii

Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.
Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.
Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.
“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.
Katikati ya...
10 years ago
Bongo510 Jun
Tetesi za uhusiano kati ya Rihanna na Benzema zazidi kukua, waonekana tena pamoja
11 years ago
Bongo524 Sep
Dr Dre aongoza tena ‘ 2014 Hip Hop Cash Kings’, akifuatiwa na Jay Z, Diddy na Drake
10 years ago
Bongo522 Oct
Rihanna asema akipata nafasi ya kuja tena Afrika itakuwa ni kwaajili ya show ya bure!
11 years ago
Bongo502 Aug
Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!
10 years ago
GPL
DOKII AJIWEKA KWA KOCHA WA YANGA