Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii

Meek-Mill

Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.

Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.

Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.

“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.

Katikati ya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

50 Cent amtania Meek Mill kwa kutumia mashairi ya ngoma ya Drake ‘Back To Back’

50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650

50 Cent amemtania Meek Mill wakati wa show nchini Sweden wiki hii kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye Twitter na DJ Akademiks.

50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650

Kwenye video hiyo 50 Cent aliisifia diss Drake kwa Meek Mill.

50 Cent was in Sweden last night laughing at Meek on Stage … Damn. pic.twitter.com/JBq49iNyoQ

— DJ Akademiks (@IamAkademiks) November 9, 2015

“’That ‘Back To Back’ shit is fire,” 50 Cent anasema kwenye kipande hicho cha video.

Rapper huyo anasikika kwenye video hiyo akirudia mashairi ya wimbo huo...

 

9 years ago

GPL

MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI

New York, Marekani WAKALI wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ waliokuwa kwenye bifu kali kiasi cha kupigana vijembe kwenye mashairi, mitandao ya kijamii, vyombo vya habari na kwenye matamasha yao limekwisha rasmi. Wakali wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ wakishikana...

 

10 years ago

Africanjam.Com

LISTEN: WANNA KNOW .. MEEK MILL'S RESPONDS TO DRAKE WITH A DISS TRACK,

Over a week after Meek Mill first called out Drake for allegedly having a ghostwriter, the Philly rapper has responded with his own diss record, "Wanna Know".
The track follows two records from Drake — "Charged Up" and "Back to Back Freestyle" — that put Meek's back against the wall. Everyone expected a response from Meek Mill earlier this week on Hot 97 DJ Funkmaster Flex's show that never transpired. Meek Mill and his team began dropping hints this afternoon that the track would finally be...

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj adai anaichukua beef ya Meek Mill na Drake

Nicki Minaj amekava jarida la The New York Times na kuzungumzia mada kibao ikiwemo beef katika ya boyfriend wake, Meek Mill na msanii mwenzake wa Young Money, Drake. Nicki anadai kuwa hapendi kuona beef hiyo ikiendelea. “Wote ni wanaume, wanaume waliokua. Ni kati yao,” alisema. “Ninaichukia. Hainifanyi nijisikie vizuri. Hauwezi kamwe kutaka kuchagua upande kati […]

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kurudi tena jela?

Meek-Mill

Huenda furaha ya Meek Mill kumchumbia mpenzi wake Nicki Minaj ikaingia dosari Jumanne ijayo atakapopanda kizimbani huko Philadelphia.

Meek-Mill

Mtandao wa Page Six umedai kuwa Mill atapanda kizimbani kwenye kesi kuhusu masharti ya kusafiri.

Chanzo kimeiambia Page Six kuwa akilemaa anaweza kurudi tena jela.

Mwaka jana msanii huyo alilazimika kusitisha show zake baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kukiuka masharti ya probation.

Awali Mill alipewa probation ya miaka mitano mwaka 2009...

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kurudi tena jela, apatikana na hatia za kukiuka masharti ya probation

meek-pray

Mambo si mazuri kwa Meek Mill.

meek-pray

Rapper huyo wa Philadelphia, Alhamis hii alipanda kizimbani na kujitetea mbele za jaji kuwa amebadilika.

Wakati wa utetezi wake, Meek alimuingiza pia mpenzi wake Nicki Minaj: I’m not a gangsta. I’m not a criminal,” alisema. I have my queen, Nicki now. I’m trying to do better and feel like I can be the best rapper alive.”

Hata hivyo jaji hakushawishisha na utetezi wake na alimkuta na hatia ya kukiuka masharti ya probation na kuitaja Feb 5 kama siku ya...

 

10 years ago

Bongo5

Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu

Baada ya Drake kutoa album project ya kushtukiza Alhamisi Feb.13 ambayo baadae alikuja kuthibitisha kuwa ni mixtape iitwayo “If You’re Reading This It’s Too Late” yenye jumla ya nyimbo 17, kuna wimbo ambao umeibua tena beef yake na Tyga. Katika mixtape hiyo kuna wimbo unaoitwa “6 PM in New York” ambao Drake amemdiss Tyga na […]

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj apotea kwenye mitandao ya kijamii ghafla, yadaiwa uhusiano na Meek Mill umeanza kumharibia

nn

Nicki Minaj amewatia hofu mashabiki wake baada ya kupotea kwenye Instagram na Twitter kwa zaidi ya wiki moja sasa.

nn

Chanzo kilicho karibu na Nicki Minaj kimeuambia mtandao wa Urban Islandz Jumatatu hii kuwa Nicki amepumzika na mitandao ya kijamii ili kurekodi muziki mpya na kutumia muda wake mwenyewe zaidi.

“After constantly being on the road and always working sometimes you need to take some time off to work on your personal life,” kilisema chanzo hicho.

Kiliendelea kuwa Minaj amekuwa kimya...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Davido Ft Meek Mill — Fans Mi

Davido kutoka Nigeria ameachia video yake mpya ambayo amemshirikisha rapper Meek Mill kutoka Maybach Music Related Tags:

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani