Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii
Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.
Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.
Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.
“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.
Katikati ya...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
50 Cent amtania Meek Mill kwa kutumia mashairi ya ngoma ya Drake ‘Back To Back’
![50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650-300x194.jpg)
50 Cent amemtania Meek Mill wakati wa show nchini Sweden wiki hii kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye Twitter na DJ Akademiks.
Kwenye video hiyo 50 Cent aliisifia diss Drake kwa Meek Mill.
50 Cent was in Sweden last night laughing at Meek on Stage … Damn. pic.twitter.com/JBq49iNyoQ
— DJ Akademiks (@IamAkademiks) November 9, 2015
“’That ‘Back To Back’ shit is fire,” 50 Cent anasema kwenye kipande hicho cha video.
Rapper huyo anasikika kwenye video hiyo akirudia mashairi ya wimbo huo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXKHYN7Dmu5wJSrKVwSnjIhwcL12jlVDO*e1ETbgLT3WHnMk9Ds*R5oSZ0WxngM2ZdDqPnI26QtUFMVMHSjYYw-/MeekMillandDrakebeef.jpg?width=650)
MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Fzbwp4ERHLw/Vbt3bi2moQI/AAAAAAAAC-0/SFUkNsvK69A/s72-c/meek-mill-featured1.jpg)
LISTEN: WANNA KNOW .. MEEK MILL'S RESPONDS TO DRAKE WITH A DISS TRACK,
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fzbwp4ERHLw/Vbt3bi2moQI/AAAAAAAAC-0/SFUkNsvK69A/s1600/meek-mill-featured1.jpg)
The track follows two records from Drake — "Charged Up" and "Back to Back Freestyle" — that put Meek's back against the wall. Everyone expected a response from Meek Mill earlier this week on Hot 97 DJ Funkmaster Flex's show that never transpired. Meek Mill and his team began dropping hints this afternoon that the track would finally be...
9 years ago
Bongo508 Oct
Nicki Minaj adai anaichukua beef ya Meek Mill na Drake
9 years ago
Bongo510 Dec
Meek Mill kurudi tena jela?
![Meek-Mill](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Meek-Mill-300x194.jpg)
Huenda furaha ya Meek Mill kumchumbia mpenzi wake Nicki Minaj ikaingia dosari Jumanne ijayo atakapopanda kizimbani huko Philadelphia.
Mtandao wa Page Six umedai kuwa Mill atapanda kizimbani kwenye kesi kuhusu masharti ya kusafiri.
Chanzo kimeiambia Page Six kuwa akilemaa anaweza kurudi tena jela.
Mwaka jana msanii huyo alilazimika kusitisha show zake baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kukiuka masharti ya probation.
Awali Mill alipewa probation ya miaka mitano mwaka 2009...
9 years ago
Bongo518 Dec
Meek Mill kurudi tena jela, apatikana na hatia za kukiuka masharti ya probation
![meek-pray](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/meek-pray-300x194.jpg)
Mambo si mazuri kwa Meek Mill.
Rapper huyo wa Philadelphia, Alhamis hii alipanda kizimbani na kujitetea mbele za jaji kuwa amebadilika.
Wakati wa utetezi wake, Meek alimuingiza pia mpenzi wake Nicki Minaj: I’m not a gangsta. I’m not a criminal,” alisema. I have my queen, Nicki now. I’m trying to do better and feel like I can be the best rapper alive.”
Hata hivyo jaji hakushawishisha na utetezi wake na alimkuta na hatia ya kukiuka masharti ya probation na kuitaja Feb 5 kama siku ya...
10 years ago
Bongo514 Feb
Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu
9 years ago
Bongo511 Nov
Nicki Minaj apotea kwenye mitandao ya kijamii ghafla, yadaiwa uhusiano na Meek Mill umeanza kumharibia
![nn](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nn-300x194.jpg)
Nicki Minaj amewatia hofu mashabiki wake baada ya kupotea kwenye Instagram na Twitter kwa zaidi ya wiki moja sasa.
Chanzo kilicho karibu na Nicki Minaj kimeuambia mtandao wa Urban Islandz Jumatatu hii kuwa Nicki amepumzika na mitandao ya kijamii ili kurekodi muziki mpya na kutumia muda wake mwenyewe zaidi.
“After constantly being on the road and always working sometimes you need to take some time off to work on your personal life,” kilisema chanzo hicho.
Kiliendelea kuwa Minaj amekuwa kimya...
10 years ago
Bongo509 Jun
New Video: Davido Ft Meek Mill — Fans Mi