MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI
![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXKHYN7Dmu5wJSrKVwSnjIhwcL12jlVDO*e1ETbgLT3WHnMk9Ds*R5oSZ0WxngM2ZdDqPnI26QtUFMVMHSjYYw-/MeekMillandDrakebeef.jpg?width=650)
New York, Marekani WAKALI wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ waliokuwa kwenye bifu kali kiasi cha kupigana vijembe kwenye mashairi, mitandao ya kijamii, vyombo vya habari na kwenye matamasha yao limekwisha rasmi. Wakali wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Robert Williams ‘Meek Mill’ na Aubrey Graham ‘Drake’ wakishikana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Ludacris, Drake wamaliza bifu lao
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Christopher Brian ‘Ludacris’ na mkali kutoka kundi la Young Money, Aubrey Drake, wamemaliza ugomvi wao wa miaka mitano.
“Binadamu hatujakamilika, mimi na Drake tulikuwa na mambo yetu, akiwa kama binadamu alikuja kwangu na kuomba msamaha tumeyamaliza.
“Tulikuwa na mgogoro kwa kipindi cha miaka mitano, halikuwa jambo zuri na ndio maana kila kitu kipo sawa kwa sasa.
“Vijana wengi hawapendi kukubali kosa, lakini mtu mwenye akili timamu anatakiwa...
10 years ago
CloudsFM16 Dec
DAVIDO,WIZKID WAMALIZA BIFU LAO
Mastaa wa nchini Nigeria,Davido na Wizkid wanaida kumaliza bifu lao lililodumu kwa miezi kadhaa la kutupiana vijembe kwenye mitandao na interview kadha walizofanyiwa.
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Olamide na Don Jazzy wamaliza bifu lao kimyakimya
Don Jazzy na Olamide wakipeana mikono.
HABARI ya ‘mujini’ mwaka huu kwa wapenda muziki nchini Nigeria na kwengineko duniani ni kumalizika kwa bifu la muda mrefu kati ya maprodyuza wakubwa, Olamide na Don Jazzy. Baada ya wawili hao kutokea katika picha wakiwa wameshikana mikono, mashabiki wamebaki kujiuliza ni wapi walipolimalizia ugomvi wao wa muda mrefu?.
Katika picha hiyo kulikuwa na maandishi yaliyowaomba msamaha mashabiki wao kwa bifu lililokuwepo na kwamba wajibu wao ni kuongoza...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-Fzbwp4ERHLw/Vbt3bi2moQI/AAAAAAAAC-0/SFUkNsvK69A/s72-c/meek-mill-featured1.jpg)
LISTEN: WANNA KNOW .. MEEK MILL'S RESPONDS TO DRAKE WITH A DISS TRACK,
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fzbwp4ERHLw/Vbt3bi2moQI/AAAAAAAAC-0/SFUkNsvK69A/s1600/meek-mill-featured1.jpg)
The track follows two records from Drake — "Charged Up" and "Back to Back Freestyle" — that put Meek's back against the wall. Everyone expected a response from Meek Mill earlier this week on Hot 97 DJ Funkmaster Flex's show that never transpired. Meek Mill and his team began dropping hints this afternoon that the track would finally be...
9 years ago
Bongo508 Oct
Nicki Minaj adai anaichukua beef ya Meek Mill na Drake
9 years ago
Bongo529 Dec
Meek Mill amdiss tena Drake kwenye ngoma hii
![Meek-Mill](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Meek-Mill-300x194.jpg)
Beef ya Meek Mill na Drake haioneshi dalili ya kuisha mapema.
Katika muda ambao wengi tulianza kusahau, Meek anarudi tena na nyundo kwa rapper huyo wa Canada itakayokuwepo kwenye mixtape yake ya Dreamchasers 4.
Video fupi ya Meek Mill inayomuonesha akichana mistari michache ya wimbo huo imesambaa mtandaoni.
“When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,” rapper huyo wa Philadelphia anarap kwenye video hiyo.
Katikati ya...
9 years ago
Bongo510 Nov
50 Cent amtania Meek Mill kwa kutumia mashairi ya ngoma ya Drake ‘Back To Back’
![50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650-300x194.jpg)
50 Cent amemtania Meek Mill wakati wa show nchini Sweden wiki hii kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye Twitter na DJ Akademiks.
Kwenye video hiyo 50 Cent aliisifia diss Drake kwa Meek Mill.
50 Cent was in Sweden last night laughing at Meek on Stage … Damn. pic.twitter.com/JBq49iNyoQ
— DJ Akademiks (@IamAkademiks) November 9, 2015
“’That ‘Back To Back’ shit is fire,” 50 Cent anasema kwenye kipande hicho cha video.
Rapper huyo anasikika kwenye video hiyo akirudia mashairi ya wimbo huo...
10 years ago
Bongo509 Jun
New Video: Davido Ft Meek Mill — Fans Mi
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-5SLYQMORvjQ/VXcJy4Dzz0I/AAAAAAAAB_g/AEbXxl-7-mY/s72-c/Davido-Fans-Mi-featuring-Meek-Mill-620x350.jpg)