Olamide na Don Jazzy wamaliza bifu lao kimyakimya
Don Jazzy na Olamide wakipeana mikono.
HABARI ya ‘mujini’ mwaka huu kwa wapenda muziki nchini Nigeria na kwengineko duniani ni kumalizika kwa bifu la muda mrefu kati ya maprodyuza wakubwa, Olamide na Don Jazzy. Baada ya wawili hao kutokea katika picha wakiwa wameshikana mikono, mashabiki wamebaki kujiuliza ni wapi walipolimalizia ugomvi wao wa muda mrefu?.
Katika picha hiyo kulikuwa na maandishi yaliyowaomba msamaha mashabiki wao kwa bifu lililokuwepo na kwamba wajibu wao ni kuongoza...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM16 Dec
DAVIDO,WIZKID WAMALIZA BIFU LAO
Mastaa wa nchini Nigeria,Davido na Wizkid wanaida kumaliza bifu lao lililodumu kwa miezi kadhaa la kutupiana vijembe kwenye mitandao na interview kadha walizofanyiwa.
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Ludacris, Drake wamaliza bifu lao
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Christopher Brian ‘Ludacris’ na mkali kutoka kundi la Young Money, Aubrey Drake, wamemaliza ugomvi wao wa miaka mitano.
“Binadamu hatujakamilika, mimi na Drake tulikuwa na mambo yetu, akiwa kama binadamu alikuja kwangu na kuomba msamaha tumeyamaliza.
“Tulikuwa na mgogoro kwa kipindi cha miaka mitano, halikuwa jambo zuri na ndio maana kila kitu kipo sawa kwa sasa.
“Vijana wengi hawapendi kukubali kosa, lakini mtu mwenye akili timamu anatakiwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyXKHYN7Dmu5wJSrKVwSnjIhwcL12jlVDO*e1ETbgLT3WHnMk9Ds*R5oSZ0WxngM2ZdDqPnI26QtUFMVMHSjYYw-/MeekMillandDrakebeef.jpg?width=650)
MEEK MILL NA DRAKE WAMALIZA BIFU LAO RASMI
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Aliko Dangote alivyomaliza ugomvi wa Don Jazzy na Olamide
Olamide akipeana mkono na Don Jazzy.
DURU za muziki hivi sasa zinafahamu kwamba bifu lililokuwepo kati ya wasanii, Olamide na Don Jazzy, wote wa Nigeria, ambalo lilianzia katika tamasha la utoaji tuzo la Headies Award, ambapo mshindi wa jumla hujinyakulia gari, hivi sasa limemalizika.
Ugomvi huo uliokuwa wa maneno, ulikolezwa na kituo cha televisheni cha Live International na kusambaa hadi kwenye mtandao wa Twitter.
Hata hivyo, swali kubwa ambalo mashabiki walikuwa wakijiuliza ni kwamba:...
9 years ago
Bongo502 Jan
The Headies: Don Jazzy na Olamide ndani ya beef kali (Video)
![Don Jazzy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Don-Jazzy-300x194.jpg)
Don Jazzy na Olamide wametengeneza headlines kwenye tuzo za Headies 2015 nchini Nigeria.
Drama ilianza baada ya Reekado Banks, aliye chini ya Mavin Records ya Don Jazzy kumshinda msanii aliye lebo moja na Olamide, Lil Kesh na kushinda tuzo ya ‘The Next Rated Award.’
Alipopanda jukwaani Olamide aliamua kufunguka ya moyoni akiwa na crew nzima YBNL baada ya msanii wake Adekunle Gold kushinda tuzo ya Best Alternative.
“This award belongs to Lil Kesh. Lil Kesh is our own Next Rated artist. F**k...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWYyCm22M2n93Gv1dZ7fVaVXBHENoswy8vW7rQpTzWupmO3fHGjHgO0LW*-zOvHFmYT5d8muxGMvjR0P2TkxoSD/MADEE.jpg)
MADEE, NAY WAMALIZA BIFU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8POorx1CJ3YTlCkXbJWBGTqDCdqMnh3wgls64uJmrB9FP*pm7BzxV-4Ks9ZddJXTEZLWyjuZ72sAUZUh7kTsEz/ISABELA.jpg)
JINI KABULA, ISABELA WAMALIZA BIFU
10 years ago
CloudsFM06 Mar
Tundaman,Matonya wamaliza ‘bifu’,kufanya ngoma pamoja.
Ndipo Husna alipomuuliza kuwa kama akitokea Matonya kwa muda huo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypkORtuUXI40ODOLT5R4mWzHTfp*0HNC7gIvswVSGjkWKSqLhcOnLb2rL8FRZLC8iHAORvog8YwiitWYx-qcwR9p/peter.jpg?width=650)
PETER WA P-SQUARE AFUNGUKIA BIFU LAO