Aliko Dangote alivyomaliza ugomvi wa Don Jazzy na Olamide
Olamide akipeana mkono na Don Jazzy.
DURU za muziki hivi sasa zinafahamu kwamba bifu lililokuwepo kati ya wasanii, Olamide na Don Jazzy, wote wa Nigeria, ambalo lilianzia katika tamasha la utoaji tuzo la Headies Award, ambapo mshindi wa jumla hujinyakulia gari, hivi sasa limemalizika.
Ugomvi huo uliokuwa wa maneno, ulikolezwa na kituo cha televisheni cha Live International na kusambaa hadi kwenye mtandao wa Twitter.
Hata hivyo, swali kubwa ambalo mashabiki walikuwa wakijiuliza ni kwamba:...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Olamide na Don Jazzy wamaliza bifu lao kimyakimya
Don Jazzy na Olamide wakipeana mikono.
HABARI ya ‘mujini’ mwaka huu kwa wapenda muziki nchini Nigeria na kwengineko duniani ni kumalizika kwa bifu la muda mrefu kati ya maprodyuza wakubwa, Olamide na Don Jazzy. Baada ya wawili hao kutokea katika picha wakiwa wameshikana mikono, mashabiki wamebaki kujiuliza ni wapi walipolimalizia ugomvi wao wa muda mrefu?.
Katika picha hiyo kulikuwa na maandishi yaliyowaomba msamaha mashabiki wao kwa bifu lililokuwepo na kwamba wajibu wao ni kuongoza...
9 years ago
Bongo502 Jan
The Headies: Don Jazzy na Olamide ndani ya beef kali (Video)
![Don Jazzy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Don-Jazzy-300x194.jpg)
Don Jazzy na Olamide wametengeneza headlines kwenye tuzo za Headies 2015 nchini Nigeria.
Drama ilianza baada ya Reekado Banks, aliye chini ya Mavin Records ya Don Jazzy kumshinda msanii aliye lebo moja na Olamide, Lil Kesh na kushinda tuzo ya ‘The Next Rated Award.’
Alipopanda jukwaani Olamide aliamua kufunguka ya moyoni akiwa na crew nzima YBNL baada ya msanii wake Adekunle Gold kushinda tuzo ya Best Alternative.
“This award belongs to Lil Kesh. Lil Kesh is our own Next Rated artist. F**k...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/73329000/jpg/_73329674_73328187.jpg)
VIDEO: Africa's richest man: Aliko Dangote
10 years ago
Bongo505 May
Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Aliko Dangote: Mtu tajiri zaidi Afrika apewa bei ya kuinunua Arsenal
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5NQA0jp_LwU/VC-YX5k6PKI/AAAAAAAGnqc/o7F3KbR_DME/s72-c/8%2B(1).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MFANYABIASHARA ALIKO DANGOTE
![](http://4.bp.blogspot.com/-5NQA0jp_LwU/VC-YX5k6PKI/AAAAAAAGnqc/o7F3KbR_DME/s1600/8%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rUADb5tKNxc/VC-YYBuxiCI/AAAAAAAGnqg/YdEJURzhLNM/s1600/9qq.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zOu7yBOWXuY/U2x8UfkG8QI/AAAAAAAFgd0/g4qPhIstuks/s72-c/da1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MFANYABIASHARA MAARUFU WA NIGERIA ALHAJ ALIKO DANGOTE JIJINI ABUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zOu7yBOWXuY/U2x8UfkG8QI/AAAAAAAFgd0/g4qPhIstuks/s1600/da1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W2rgOv0PJnU/U2x8Ub-UWJI/AAAAAAAFgds/G-Z1Gz2CsD4/s1600/da2.jpg)
10 years ago
VijimamboBILIONEA ALHAJ ALIKO DANGOTE ATEMBELEA KIWANDA CHAKE MTWARA, NI KILE CHA KUZALISHA SARUJI
mfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8, 2015. - See more at: http://www.raiamwema.co.tz/saruji-ya-dangote-kushusha-bei#sthash.KvYcDSfE.dpufmfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8,...
9 years ago
Bongo513 Oct
Music: Timaya Ft Don Jazzy — I Concur