RAIS KIKWETE AKUTANA NA MFANYABIASHARA MAARUFU WA NIGERIA ALHAJ ALIKO DANGOTE JIJINI ABUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zOu7yBOWXuY/U2x8UfkG8QI/AAAAAAAFgd0/g4qPhIstuks/s72-c/da1.jpg)
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mfanyabishara maarufu wa Nigeria Alhaj Aliko Dangote alipokutana naye jijini Abuja, Nigeria, May 8, 2014 pembeni mwa Mkutano wa Dunia wa Uchumi kwa Afrika. Alhaj Dangote ni mwekezaji mashuhuri duniani na hivi sasa anajenga kiwanda kikubwa cha saruji mkoani Mtwara.
Mfanyabishara maarufu wa Nigeria Alhaj Aliko Dangote akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) Bi. Juliet Kairuki wakati Rais Dkt Jakaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5NQA0jp_LwU/VC-YX5k6PKI/AAAAAAAGnqc/o7F3KbR_DME/s72-c/8%2B(1).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MFANYABIASHARA ALIKO DANGOTE
![](http://4.bp.blogspot.com/-5NQA0jp_LwU/VC-YX5k6PKI/AAAAAAAGnqc/o7F3KbR_DME/s1600/8%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rUADb5tKNxc/VC-YYBuxiCI/AAAAAAAGnqg/YdEJURzhLNM/s1600/9qq.jpg)
10 years ago
VijimamboBILIONEA ALHAJ ALIKO DANGOTE ATEMBELEA KIWANDA CHAKE MTWARA, NI KILE CHA KUZALISHA SARUJI
mfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8, 2015. - See more at: http://www.raiamwema.co.tz/saruji-ya-dangote-kushusha-bei#sthash.KvYcDSfE.dpufmfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9uzKdIlRI/U2spBSsniRI/AAAAAAAFgMg/PP7iTvqEbNQ/s72-c/c1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA CHINA JIJINI ABUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9uzKdIlRI/U2spBSsniRI/AAAAAAAFgMg/PP7iTvqEbNQ/s1600/c1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zf-YNpTl-uA/U2spB2C1utI/AAAAAAAFgMk/TPKamCUL8Ck/s1600/c2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XlqZT0OVHUE/U2spB0TiOvI/AAAAAAAFgMs/ahKIR1cW0hE/s1600/c3(1).jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 May
Rais Kikwete katika Mkutano wa Dunia wa Uchumi Jijini Abuja, Nigeria
World Economic Forum Founder and Chairman Prof. Klaus Shwab pins a WEF pin on President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in the sidelines of the World Economic Forum in Abuja.
President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in talks with the World Economic Forum Founder and Chairman Prof. Klaus Shwab in the side lines of the World Economic Forum in Abuja.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIuxMSNTCgkKqzsTFBmqHJbvqx3O5SC-Y8SsNi7Ar*0e5kqz7zhfP1-ZMp5nuErPDjE36g7K3dJ6kGlOrnt*do*/le2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KATIKA MKUTANO WA DUNIA WA UCHUMI JIJINI ABUJA, NIGERIA
10 years ago
Bongo505 May
Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
11 years ago
MichuziRais kikwete akutana na Makamu wa Rais wa China pamoja na Mmiliki wa kampuni ya Dangote
11 years ago
Dewji Blog07 May
Rais Kikwete awasili Abuja, Nigeria, kuhudhuria Mkutano wa Uchumi Duniani (World Economic Forum)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea shada la maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi Azikiwe jijini Abuja, Nigeria, usiku wa Mei 6, 2014 ambako atahudhuria Mkutano wa siku 3 wa Uchumi Duniani kuhusu Afrika (World Economic Forum for Africa).
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri wa Nishati wa Nigeria Profesa Chinedu Ositadinma Nebo na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe Daniel Ole Njoolay katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Nnamdi...