Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!

Tajiri wa kwanza Afrika, Aliko Dangote, amekiri kuwa bado ana mpango wa kuinunua club ya Arsenal licha ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 2010. Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 15.7 (£10.38bn) anawazidi walimiki wa sasa wa club hiyo, Stan Kroenke (£3.7bn) na Alisher Usmanov (£9.65bn). “Bado nina matumaini, siku moja kwa bei sahihi kwamba nitainunua […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Aliko Dangote: Mtu tajiri zaidi Afrika apewa bei ya kuinunua Arsenal

Mtu tajiri zaidi barani AfrikaAliko Dangote hatimaye amepatiwa bei ya kuinunua klabu ya Ligi kuu ya England Arsenal.

 

10 years ago

Vijimambo

BILIONEA ALHAJ ALIKO DANGOTE ATEMBELEA KIWANDA CHAKE MTWARA, NI KILE CHA KUZALISHA SARUJI


Gari iliyombeba mfanyabiashara maarufu barani Afrika, Mwenyekiti wa kundi la makampuni ya Dangote, Alhaj Aliko Dangote, likipita mbele ya majengo yatakayokuwea kiwanda cha kuzalisha sarujit nje kidogo ya mji wa Mtwara, Nov 6, 2014. Ujenzi wa kiwanda hicho unatarajiwa kukamilika Juni 2015
mfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8, 2015. - See more at: http://www.raiamwema.co.tz/saruji-ya-dangote-kushusha-bei#sthash.KvYcDSfE.dpufmfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8,...

 

10 years ago

GPL

MJUE BILIONEA ANAYETAKA KUINUNUA ARSENAL

Bilionea Aliko Dangote LONDON, England BILIONEA Aliko Dangote anataka kuinunua Arsenal. Mfanyabiashara huyu wa Nigeria, ndiye mtu mweusi namba mbili mwenye nguvu zaidi duniani, nyuma ya Rais wa Marekani, Barack Obama na ana fedha mara mbili zaidi ya mmiliki wa Chelsea, Mrusi Roman Abramovich.Dangote ndiye Mwafrika tajiri zaidi duniani na sasa amekuwa gumzo kwenye soka kutokana na dhamira yake ya kutaka kuinunua Arsenal. Bilionea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bilionea wa Afrika ataka kuinunua Arsenal

Mtu tajiri barani Afrika anataka kuinunua Arsenal.Aliko Dangote alijipatia mabilioni ya fedha kupitia biashara ya sukari na mafuta.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MFANYABIASHARA MAARUFU WA NIGERIA ALHAJ ALIKO DANGOTE JIJINI ABUJA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mfanyabishara maarufu wa Nigeria Alhaj Aliko Dangote alipokutana naye jijini Abuja, Nigeria, May 8, 2014 pembeni mwa Mkutano wa Dunia wa Uchumi kwa Afrika. Alhaj Dangote ni mwekezaji mashuhuri duniani na hivi sasa anajenga kiwanda kikubwa cha saruji mkoani Mtwara. Mfanyabishara maarufu wa Nigeria Alhaj Aliko Dangote akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) Bi. Juliet Kairuki wakati Rais Dkt Jakaya...

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Africa's richest man: Aliko Dangote

Africa's richest man Aliko Dangote talks about his journey to success, why he is finally getting into the oil industry and how he avoids corruption.

 

9 years ago

Bongo5

Mohammed Dewji anataka kuinunua klabu ya Simba, kuwekeza bilioni 20

Mfanyabiashara mkubwa nchini, Mohammed Dewji ameweka wazi mpango wake wa kuinunua klabu ya Simba inayoshiriki ligi kuu ya Tanzania Bara. Akizungumza na kipindi cha Mkasi TV kinachoruka kupitia EATV, Dewji alisema tayari wapo kwenye mazungumzo na rais wa klabu hiyo ili kukamilisha mpango huo. “Unajua kila mtu ana interest, hakuna interest ya klabu, mimi nimeona […]

 

9 years ago

Global Publishers

Aliko Dangote alivyomaliza ugomvi wa Don Jazzy na Olamide

imageOlamide  akipeana mkono na Don Jazzy.

DURU za muziki hivi sasa zinafahamu kwamba bifu lililokuwepo kati ya wasanii, Olamide na Don Jazzy, wote wa Nigeria, ambalo lilianzia katika tamasha la utoaji tuzo la Headies Award, ambapo mshindi wa jumla hujinyakulia gari, hivi sasa limemalizika.

Ugomvi huo uliokuwa wa maneno, ulikolezwa na kituo cha televisheni cha Live International na kusambaa hadi kwenye mtandao wa Twitter.
Hata hivyo, swali kubwa ambalo mashabiki walikuwa wakijiuliza ni kwamba:...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MFANYABIASHARA ALIKO DANGOTE

Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika Aliko Dangote akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. Picha na OMR Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani