Bilionea wa Afrika ataka kuinunua Arsenal
Mtu tajiri barani Afrika anataka kuinunua Arsenal.Aliko Dangote alijipatia mabilioni ya fedha kupitia biashara ya sukari na mafuta.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 May
Mtu tajiri Afrika ataka kuinunua Arsenal
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaLSgnu8XWzJ7k*h*70*Ve*lkuu6fCSOeHPxOXXp959n14EBrLbMehkUS2b3GQMKDcKXKGq3A3bmzRyrKh2lZWtY/aliko_dangote.jpg?width=650)
MJUE BILIONEA ANAYETAKA KUINUNUA ARSENAL
10 years ago
Bongo505 May
Bilionea wa Nigeria Aliko Dangote bado anataka kuinunua timu ya Arsenal!
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili07 Mar
Aliko Dangote: Mtu tajiri zaidi Afrika apewa bei ya kuinunua Arsenal
10 years ago
Vijimambo06 May
BILLIONAIRE MWAFRICA YUPO MBIONI KUINUNUA ARSENAL
![](http://a.espncdn.com/combiner/i/?img=/photo/2015/0505/fc-Dangote-jd-1296x729.jpg&w=738&site=espnfc)
Simwingine ni yule alienunua kijiji kizima kule Mtwara na kujenga kiwanda cha cement na bandari ya kwake mwenyewe. Sasa aigeukia timu ya Arsenal ya Uingereza kutaka kuinunua, Aliko Dangote ni billionaire mwafrica kutoka Nigeria ana pesa na anaouwezo wa kuikopesha serikali moja wapo ndani ya Bara la Africa na hata nchi masikini ya Ulaya.kama Kikristo kina panda jitiririshe hapa chini. http://www.espnfc.us/arsenal/story/2434364/aliko-dangote-africa-richest-man-still-plans-to-buy-arsenal
10 years ago
Mtanzania05 Dec
Bilionea IPTL ataka bosi wa TRA akamatwe
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Pan Africa Power Solutions (PAP) na ile ya Independent Power Tanzania (IPTL), imeitaka Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini iamuru Kamishna Mkuu wa TRA, akamatwe na kupelekwa gerezani kwa kufuta hati za kuthibitisha ulipaji wa kodi wa kampuni hiyo katika manunuzi ya hisa za IPTL.
Hatua ya TRA kufuta hati hizo, ilitokana na udanganyifu uliofanywa na PAP kwa kuwasilisha nyaraka za kughushi za ununizi wa hisa, hali iliyoiwezesha kukwepa kodi ya Sh bilioni...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Dewji sasa bilionea kijana Afrika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2642142/highRes/958679/-/maxw/600/-/vxkdpiz/-/dewji.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Mar
FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika