Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika

>Mfanyabiashara maarufu nchini na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji (pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Dewji sasa bilionea kijana Afrika

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu nchini na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji (pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.Jarida la Forbes la Marekani limemtaja Dewji (39), katika nafasi ya 24 ya matajiri wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola 1.3 bilioni za Marekani (Sh2.34 trilioni) unaotokana na biashara mbalimbali anazozifanya kupitia kampuni yake ya Mohammed Enterprises (Metl Group). “Dewji alibadilisha...

 

9 years ago

Bongo5

2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam

dangote-dewji-rostam

Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.

forbes1

Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...

 

9 years ago

Dewji Blog

ABBAS MAZIKU: Mfanyabiashara anayetamani kufuata nyayo za Bilionie kijana Barani Afrika Mo Dewji

04.jpgkMfanyabiashara wa Kimataifa  Abbas Maziku akiwa katika picha ya pamoja na Mfanyabiashara ambaye pia ni Bilionea kijana Barani Afrika, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji, ‘MO’  amabaye anafuata nyayo zake katika kufikia malengo yake kibiashara.

Na Mwandishi Wetu

BIASHARA ya kusafirisha mazao ni miongoni mwa biashara zenye ushindani mkubwa kutokana na kutawaliwa na  matajiri wenye asili ya  Kiasia.

Kutokana na sababu hiyo imewafanya waafrika wengi  kuwa na uthubutu katika...

 

9 years ago

Bongo5

Africa’s 50 Richest (Forbes): Dewji ni namba 21, aongoza Tanzania

620x434

Forbes wametoa orodha ya watu 50 matajiri zaidi barani Afrika.

620x434

Nafasi ya kwanza imeendelea kushikiliwa na bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri wa dola bilioni 16.7.

Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amekamata nafasi ya 21 kwenye orodha hiyo akiwa na utajiri wa dola bilioni 1.1. Dewji anaendelea kuwa tajiri namba moja nchini Tanzania.

Rostam Aziz amekamata nafasi ya 25 kwa utajiri wa dola milioni 900 huku Said Salim Bakhresa akikamata nafasi ya 36 kwa kuwa na utajiri...

 

10 years ago

Bongo5

Africa’s 50 Richest (Forbes 2014): Rostam, Dewji, Bakhresa na Mengi waingia!

Orodha mpya ya watu 50 tajiri zaidi barani Afrika, Africa’s 50 Richest imetolewa wiki hii. Rostam Aziz Watanzania wanne wameingia kwenye orodha hiyo iliyoongozwa na mfanyabiashara wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri ufikao dola bilioni 21.6. Rostam Aziz ameendelea kuwa mtu tajiri zaidi nchini Tanzania na kukamata nafasi ya 26 kwenye orodha hiyo akiwa na […]

 

9 years ago

Bongo5

Dewji ambwaga rais wa Nigeria na kushinda tuzo ya Forbes, ‘Person Of The Year 2015’

12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n

Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amembwaga rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari na wengine watatu kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za ‘Forbes Africa’s Person Of The Year 2015’ zilizotolewa jana.

12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n

“Congratulations to Tanzanian businessman and philanthropist extraordinaire, Muhammed Dewji on being named Forbes Africa’s Person Of The Year 2015. ‪#‎FAPOY2015‬,” wameandika Forbes

Akipokea tuzo hiyo Dewji alidai kuitoa kwa vijana wa Tanzania.

12311229_1063019103729540_1978545552083464653_n

Ushindi huo unakuja baada ya hivi karibuni...

 

10 years ago

Mwananchi

Dewji bilionea namba moja, Rostam Aziz anamfuatia

Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39), ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na Rostam Aziz (49).

 

10 years ago

Bongo5

Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!

Mohammed Dewji ndiye mtu tajiri zaidi nchini Tanzania, kwa mujibu wa orodha ya mwaka 2015 ya mtandao wa Forbes wa mabilionea 32 barani Afrika. Awali ni Rostam Aziz ndiye aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Forbes, Dewji mwenye umri wa miaka 39 ana utajiri wa dola bilioni 1.3. Utajiri huo unamfanya mfanyabiashara huyo ambaye […]

 

9 years ago

Michuzi

ABBAS MAZIKU: MFANYABIASHARA ANAYETAMANI KUFUATA NYAYO ZA BILIONEA MO DEWJI

04.jpgkMfanyabiashara wa Kimataifa Abbas Maziku akiwa katika picha ya pamoja na Mfanyabiashara ambaye pia ni Bilionea kijana Barani Afrika, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji, 'MO' ambaye anafuata nyayo zake katika kufikia malengo yake kibiashara.
Na Mwandishi WetuBIASHARA ya kusafirisha mazao ni miongoni mwa biashara zenye ushindani mkubwa kutokana na kutawaliwa na matajiri wenye asili ya Kiasia.
Kutokana na sababu hiyo imewafanya waafrika wengi kuwa na uthubutu katika biashara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani