ABBAS MAZIKU: MFANYABIASHARA ANAYETAMANI KUFUATA NYAYO ZA BILIONEA MO DEWJI
Mfanyabiashara wa Kimataifa Abbas Maziku akiwa katika picha ya pamoja na Mfanyabiashara ambaye pia ni Bilionea kijana Barani Afrika, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji, 'MO' ambaye anafuata nyayo zake katika kufikia malengo yake kibiashara.
Na Mwandishi WetuBIASHARA ya kusafirisha mazao ni miongoni mwa biashara zenye ushindani mkubwa kutokana na kutawaliwa na matajiri wenye asili ya Kiasia.
Kutokana na sababu hiyo imewafanya waafrika wengi kuwa na uthubutu katika biashara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Aug
ABBAS MAZIKU: Mfanyabiashara anayetamani kufuata nyayo za Bilionie kijana Barani Afrika Mo Dewji
Mfanyabiashara wa Kimataifa Abbas Maziku akiwa katika picha ya pamoja na Mfanyabiashara ambaye pia ni Bilionea kijana Barani Afrika, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji, ‘MO’ amabaye anafuata nyayo zake katika kufikia malengo yake kibiashara.
Na Mwandishi Wetu
BIASHARA ya kusafirisha mazao ni miongoni mwa biashara zenye ushindani mkubwa kutokana na kutawaliwa na matajiri wenye asili ya Kiasia.
Kutokana na sababu hiyo imewafanya waafrika wengi kuwa na uthubutu katika...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Aahidi kufuata nyayo za Magufuli
MBUNGE wa Pangani, Jumaa Awesso (CCM), amepongeza utendaji kazi wa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli katika suala la ukusanyaji mapato na kuahidi kwamba atashirikiana na wadau wa wilaya yake kuendana na kasi hiyo kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato na kusimamia vizuri vilivyopo.
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Rammy apania kufuata nyayo za Kanumba
LICHA ya kuwa chipukizi katika tasnia ya filamu nchini, Rammy Galis, amesema atahakikisha anawafunika wasanii wa kiume na kufuata nyayo za aliyekuwa nguli, Steven Kanumba. Rammy ambaye ametamba kwenye filamu...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Wasanii watakiwa kufuata nyayo za Diamond
WASANII nchini wametakiwa kuiga mfano wa msanii Nasseb Abdul ‘Diamond’ wa kuwa na uongozi wa kusimamia kazi zake ili waweze kufanikiwa kupitia kazi zao na sio kulalamika kila siku. Hayo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpSi2LXHs4pHioMkDaHwNRDEE0lGIAezOAdw2Cw54U3LZ8Yr57VFXhAkSpzdKQEDAzXDYuiLBgC1TCh5Hyg7vLt/Rich.jpg?width=650)
JB , RICH KUFUATA NYAYO ZA STEVE NYERERE
9 years ago
Michuzi26 Oct
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Dewji sasa bilionea kijana Afrika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2642142/highRes/958679/-/maxw/600/-/vxkdpiz/-/dewji.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B9nh5CAanAs/XsEuYOFem9I/AAAAAAALqjg/a0ZcIoRhnvQ5UHtyKUu9fIuh6-ahReE3gCLcBGAsYHQ/s72-c/1-2-1.jpg)
NI WAJIBU WA MFANYABIASHARA WA VYUMA CHAKAVU KUFUATA SHERIA-SIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-B9nh5CAanAs/XsEuYOFem9I/AAAAAAALqjg/a0ZcIoRhnvQ5UHtyKUu9fIuh6-ahReE3gCLcBGAsYHQ/s640/1-2-1.jpg)
…………………………………………………………………………..
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) amesema ni wajibu wa kila mfanyabiashara wa vyuma chakavu kufuata sheria ili kulinda miundombinu na kuepuka...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika