Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ABBAS MAZIKU: MFANYABIASHARA ANAYETAMANI KUFUATA NYAYO ZA BILIONEA MO DEWJI

04.jpgkMfanyabiashara wa Kimataifa Abbas Maziku akiwa katika picha ya pamoja na Mfanyabiashara ambaye pia ni Bilionea kijana Barani Afrika, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji, 'MO' ambaye anafuata nyayo zake katika kufikia malengo yake kibiashara.
Na Mwandishi WetuBIASHARA ya kusafirisha mazao ni miongoni mwa biashara zenye ushindani mkubwa kutokana na kutawaliwa na matajiri wenye asili ya Kiasia.
Kutokana na sababu hiyo imewafanya waafrika wengi kuwa na uthubutu katika biashara...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

ABBAS MAZIKU: Mfanyabiashara anayetamani kufuata nyayo za Bilionie kijana Barani Afrika Mo Dewji

04.jpgkMfanyabiashara wa Kimataifa  Abbas Maziku akiwa katika picha ya pamoja na Mfanyabiashara ambaye pia ni Bilionea kijana Barani Afrika, Mtendaji Mkuu wa kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji, ‘MO’  amabaye anafuata nyayo zake katika kufikia malengo yake kibiashara.

Na Mwandishi Wetu

BIASHARA ya kusafirisha mazao ni miongoni mwa biashara zenye ushindani mkubwa kutokana na kutawaliwa na  matajiri wenye asili ya  Kiasia.

Kutokana na sababu hiyo imewafanya waafrika wengi  kuwa na uthubutu katika...

 

9 years ago

Habarileo

Aahidi kufuata nyayo za Magufuli

MBUNGE wa Pangani, Jumaa Awesso (CCM), amepongeza utendaji kazi wa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli katika suala la ukusanyaji mapato na kuahidi kwamba atashirikiana na wadau wa wilaya yake kuendana na kasi hiyo kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato na kusimamia vizuri vilivyopo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rammy apania kufuata nyayo za Kanumba

LICHA ya kuwa chipukizi katika tasnia ya filamu nchini, Rammy Galis, amesema atahakikisha anawafunika wasanii wa kiume na kufuata nyayo za aliyekuwa nguli, Steven Kanumba. Rammy ambaye ametamba kwenye filamu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii watakiwa kufuata nyayo za Diamond

WASANII nchini wametakiwa kuiga mfano wa msanii Nasseb Abdul ‘Diamond’ wa kuwa na uongozi wa kusimamia kazi zake ili waweze kufanikiwa kupitia kazi zao na sio kulalamika kila siku. Hayo...

 

11 years ago

GPL

JB , RICH KUFUATA NYAYO ZA STEVE NYERERE

Stori: Shakoor Jongo NYADHIFA! Bongo Movies Icons, Jacob Steven ‘JB’ na Single Mtambalike ‘Rich’ wako mbioni kufuata nyayo za Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ wakitaka kushika nyadhifa mbalimbali. Bongo Movies Icons, Jacob Steven ‘JB’.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Ijumaa Wikienda hivi karibuni, maeneo ya Kinondoni, Dar,...

 

10 years ago

Vijimambo

Dewji sasa bilionea kijana Afrika

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu nchini na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji (pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.Jarida la Forbes la Marekani limemtaja Dewji (39), katika nafasi ya 24 ya matajiri wa Afrika akiwa na utajiri wa Dola 1.3 bilioni za Marekani (Sh2.34 trilioni) unaotokana na biashara mbalimbali anazozifanya kupitia kampuni yake ya Mohammed Enterprises (Metl Group). “Dewji alibadilisha...

 

5 years ago

Michuzi

NI WAJIBU WA MFANYABIASHARA WA VYUMA CHAKAVU KUFUATA SHERIA-SIMA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akizungumza na wafanyabiashara wa vyuma chakavu kutoka badhi ya mikoa (hawapo pichani) jijini Tanga. Wengine pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe. Thobias Mwilapwa.

…………………………………………………………………………..

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) amesema ni wajibu wa kila mfanyabiashara wa vyuma chakavu kufuata sheria ili kulinda miundombinu na kuepuka...

 

10 years ago

Mwananchi

FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika

>Mfanyabiashara maarufu nchini na Mbunge wa Singida Mjini (CCM), Mohammed Dewji (pichani) kwa mara ya kwanza ameingia kwenye orodha ya mabilionea 29, akiwa tajiri kijana kuliko wote barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani