Dewji bilionea namba moja, Rostam Aziz anamfuatia
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39), ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na Rostam Aziz (49).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Nov
Jarida la ‘Ventures Africa’ lamtaja Dewji bilionea namba moja Tanzania
10 years ago
Bongo503 Mar
Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!
10 years ago
Vijimambo22 May
Uongozi wa Ndanda FC unajipanga kukutana na bilionea namba moja barani Afrika
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/aliko-dangote1-1024x795.jpg)
Bilionea Aliko Dangote
Uongozi wa Ndanda FC unajipanga kukutana na bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote kwa ajili ya kumuomba kuwa mmoja wa wadhamini wa juu katika timu hiyo kabla msimu ujao haujaanza.
Salehjembe ameripoti kwamba mwenyekiti wa Ndanda FC, Hamad Omari alisema licha ya kuwa na udhamini wa Kampuni ya Binslum na Big Tanzania, lakini wanajipanga kumuona tajiri huyo anayemiliki kiwanda cha saruji kwenye mkoa wao.
“Tunafikiria kufanya mikakati ya kuweza kukutana naye ili...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Rostam Aziz, afiwa na baba
ALIYEKUWA mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, (CCM), amefiwa na baba yake Aziz Abdulrasool (73) jijini Dar es Salaam jana asubuhi. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwa marehemu Oysterbay jana, mtoto...
9 years ago
TheCitizen03 Sep
Rostam Aziz, Mbatia respond to Slaa tirade
10 years ago
Mtanzania04 Mar
Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...
10 years ago
Bongo521 Nov
Africa’s 50 Richest (Forbes 2014): Rostam, Dewji, Bakhresa na Mengi waingia!
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Dewji sasa bilionea kijana Afrika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2642142/highRes/958679/-/maxw/600/-/vxkdpiz/-/dewji.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Mar
FORBES: Dewji sasa bilionea kijana Afrika