Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Mar
Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!
9 years ago
Bongo520 Nov
2015 Forbes Africa’s 50 Richest: Dangote aongoza Afrika, Dewji aongoza Tanzania akifatiwa na Rostam
![dangote-dewji-rostam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/dangote-dewji-rostam-300x194.jpg)
Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya Matajiri 50 wa Afrika ‘2015 Forbes Africa’s 50 Richest People’, ambapo mwekezaji mkubwa wa Nigeria, Aliko Dangote ameshika nafasi ya kwanza kwa utajiri wa Dola Billion 16.5.
Watanzania walioingia kwenye rodha hiyo ni Mohammed Dewji aliyeshika nafasi ya 21 kwa Afrika na namba moja kwa Tanzania, akifatiwa na Rostam Aziz aliyeshika namba 25 kwa Afrika na nafasi ya pili kwa Tanzania. Mwingine ni Said Salim Bakhresa aliyekamata nafasi ya 36 kwa Afrika na...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Dewji bilionea namba moja, Rostam Aziz anamfuatia
10 years ago
Bongo521 Nov
Africa’s 50 Richest (Forbes 2014): Rostam, Dewji, Bakhresa na Mengi waingia!
10 years ago
Habarileo24 Apr
Dewji kugawa utajiri wake
MFANYABIASHARA na mwanasiasa maarufu nchini, Mohammed Dewji (39) anatarajia kuanzisha taasisi yake ya Mohammed Foundation mwezi ujao, itakayotoa misaada mbalimbali kwa jamii na ametenga mabilioni ya fedha.
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Masanja Awa Mbele ya Jaydee na Profesa Jay Kwa Utajiri Tanzania
<span 1.6em;"="">Utajili wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo gazeti la Risasi Mchanganyiko limeripoti.
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hilo kama kidokezo, hapo mwandishi wao akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni kati ya mastaa mabilionea Bongo.
“Masanja sio yule...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s72-c/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
VYAMA VYA WAONGOZA WATALII NA WAPAGAZI TANZANIA WATOA SIKU 30 KWA SERIKALI KUSHUGHULIKIA MADAI YAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHN6Gx1K98w/VX8Y4iDAyOI/AAAAAAAAQ9U/rc-G6F277-Y/s640/E86A0136%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AC_cH8VtVuY/VX8YvGo1ESI/AAAAAAAAQ8U/l8zR8jAyPH8/s640/E86A0087%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DkeFH6D1ptw/VX8YvE3MJHI/AAAAAAAAQ8Q/isUo1IEA28A/s640/E86A0089%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y8i6j1tdc90/VX8Y45iFglI/AAAAAAAAQ9k/ndKVAmP1SJE/s640/E86A0144%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hk0tVmG49d4/VX8YuhNwjrI/AAAAAAAAQ8M/j-xEODVsSfE/s640/E86A0090%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-axN4AEVKS1k/VX8Yxjmwy_I/AAAAAAAAQ8k/R-ye4CnEvb4/s640/E86A0091%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Kusaga: Clouds Media Group haijauzwa kwa Rostam
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga amesema kuwa Clouds Media Group haijauzwa kwa mfanyabiasha mkubwa hapa nchini,Rostam Aziz kama ambavyo taarifa hizo zilivyokuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.
Akizungumza kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo moja kwa moja kutoka nchini Dubai alisema kuwa taarifa hiyo ameisikia na kwamba amekuwa akipigiwa sana simu na wadau mbalimbali kuhusiana na habari hizo na kusema kuwa ni jinsi gani watanzania wamekuwa wakitumia...
10 years ago
Vijimambo25 Sep
TANZANIA YETU NA UTAJIRI WA ASILI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-B-Um3f0eXWE%2FVCOqMI5pVAI%2FAAAAAAADFUI%2F4CBctjEHEeE%2Fs1600%2F983678_10152180197377659_5314435758979066405_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)