Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YETU NA UTAJIRI WA ASILI

Kwanza kabisa nianze kwa kusema kuwa Mwenyezi Mungu ametubariki kwa utajiri wa maliasili uliotukuka katika nchi yetu ya Tanzania. Tukianzia kwenye Bahari na mpaka Maziwa. Ni nchi pekee katika bara la afrika kuzungukwa na maziwa makuu matatu. Yenye uoto wa asili na ndipo panaposadikiwa kuwa mpaka sasa inasadikika kuwa binaadamu wa kwanza alitoka hapa kutokana na rekodi za fuvu lililovumbuliwa kule Olduvai Gorge. Tuna mbuga nyingi lakini katika mbuga hizo Serengeti ndio kinara wa mbuga zote...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Tupende na tuuenzi utamaduni na asili yetu watanzania



TEMBELEA LIBENEKE LAO KWA KUBOFYA LIKI HIYO
www.akomungoma.co.tz

 

10 years ago

Mtanzania

Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania

mohammed-dewjiRostamMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...

 

10 years ago

Bongo Movies

Masanja Awa Mbele ya Jaydee na Profesa Jay Kwa Utajiri Tanzania

<span 1.6em;"="">Utajili wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo gazeti la Risasi Mchanganyiko limeripoti.

Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hilo kama kidokezo, hapo mwandishi wao akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni kati ya mastaa mabilionea Bongo.

“Masanja sio yule...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania:Matangazo tiba asili marufuku

Baraza la tiba asili na tiba mbadala Tanzania limesitisha vibali vya kurusha matangazo kwenye vyombo vya habari

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, China kuboresha dawa za asili

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imeanzisha ushirikiano wa dawa za asili na Chuo cha Henan cha nchini China kinachojishughulisha na dawa hizo. Hatua hiyo imefikiwa baada...

 

10 years ago

Habarileo

China, Tanzania kusaini utafiti dawa asili

TANZANIA na China leo wanatia saini Mkataba wa Makubaliano wa kuendeleza na kufanya utafiti wa matumizi ya dawa za asili kwa ajili ya tiba ya magonjwa ya mbalimbali ya binadamu nchini.

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.

 Msajili wa Vyama vya  Siasa Jaji Francis Mutungi  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya   utofauti wa itikadi wa vyama ndiyo ukomavu wa demokrasia nchini hivyo ni jambo la busara kuvumiliana na kufanya siasa za kistaarabu, ameyasema hayo wakati  wa  kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam kulia ni Balozi wa Amani Mrisho Mpoto na kushoto ni Balozi wa Amani Christina Shusho. Balozi wa Amani Mrisho Mpoto akifafanua jambo katika kikao hicho leo jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

Cyber Security na Tanzania Yetu.

Utangilizi na utambulisho wa Ben Mabby, Jr katika kuelezea ni nini anakusudia kufanya kwa kutumia YouTube Platform.Karibu.

 

10 years ago

Vijimambo

ABELA KIBIRA MWANAMUZIKI MWENYE ASILI YA TANZANIA ANAYETIKISA AMERIKA KIMUZIKI

Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na uwakilishi mzuri katika tasnia mbalimbali ndani na nje ya nchi, mfano mzuri ni Mwanamuziki wa kike Abela ambaye ni mzaliwa wa Bukoba Mkoani Kagera anayepeperusha vyema bendera ya Tanzania kimziki huko Amerika anakoishi na kufanya kazi zake za muziki.

Abela Kibira alizaliwa Septemba 22 mwaka 1989 akiwa mtoto wa kwanza katika familia ya Mtanzania Josiah Kibira mzaliwa wa Bukoba Kagera, Tanzania na Mmarekani, Mrs Josiah Kibira.
Mchanganyiko huo wa tamaduni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani