Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China, Tanzania kusaini utafiti dawa asili

TANZANIA na China leo wanatia saini Mkataba wa Makubaliano wa kuendeleza na kufanya utafiti wa matumizi ya dawa za asili kwa ajili ya tiba ya magonjwa ya mbalimbali ya binadamu nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, China kuboresha dawa za asili

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imeanzisha ushirikiano wa dawa za asili na Chuo cha Henan cha nchini China kinachojishughulisha na dawa hizo. Hatua hiyo imefikiwa baada...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUWEKEZA KATIKA UTAFITI WA TIBA ASILI

Mkurugenzi wa Tasisi ya Utafiti ya Ifakara,Salim Abdullah akisaini makubaliano ya kuendeleza utafiti  tasisi hiyo kulia ni Mkuu wa Taasisi ya Kinga na wa China,Dk.Ning Xiao  katika hafla iliypfanyika leo jijin Dar es Salaam.(Picha Emmanuel Massaka). WAZIRI wa Afya  na Ustawi wa Jamii,Dk.Seif Rashid akizungumza hafla ya makubaliano na Serikali ya watu wa China ( Kulia),Naibu Waziri  na Kamisheni ya Taifa ya Afya na Uzazi wa Mpango,na  Usimamizi wa Tiba Asili iliyofanyika leo jijini Dar es...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI: DAWA YA CORONA AMBAYO MADAGASCAR IMETOA MSAADA KWA TANZANIA NI KWA AJILI YA UTAFITI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, akiwaonyesha dawa ambayo Madagascar imetoa msaada kwa Tanzania, alipozungumza na Waandishi wa habari Jijini Dae es Salaam, leo.
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema dawa ambayo nchi ya Madagascar imeitoa kama msaada wa Serikali ya Tanzania ni kwa ajili ya utafiti kwanza.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof....

 

10 years ago

Habarileo

Wauzaji dawa za asili wabanwa

Nsachris Mwamaja SERIKALI imesisitiza kuwa dawa zote za tiba asilia ama za kisasa, zinatakiwa kufuata taratibu zote za kuziingiza hapa nchini, tofauti na hapo ni uvunjaji wa sheria.

 

11 years ago

Michuzi

DUKA LA DAWA ZA ASILI LILALOTEMBEA

Kamera ya Globu ya Jamii iliinasa taswira ya duka hili la dawa za asili linalotembea likiwa limepaki maeneo ya Soko Kuu la Arusha,likiendeleza libeneke lake kama kawa huku mmoja wa wateja akiendelea kupata huduma.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania msidharau dawa za asili

Ujio wa ukoloni umeathiri sana mwenendo mzima wa hali ya afya kwa Waafrika wengi. Mojawapo wa athari za ujio huu ni kupandikizwa katika akili za Waafrika dhana kuwa kila kitu kilicho cha asili ni kibaya na hakina budi kuachwa. Kwa mfano chakula cha asili, nyumba za asili, mavazi ya asili, dawa za asili na hata tabia na mienendo ya asili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MSD watakiwa kununua dawa asili

CHAMA cha Watabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME) kimeitaka Bohari ya Dawa (MSD), kujenga mazoea ya kununua dawa asili, ili ziweze kutumika sambamba na dawa nyingine katika vituo vya afya...

 

11 years ago

Mwananchi

Madhara ya kuchanganya dawa za hospitali na za asili

>Matumizi ya dawa za asili au tiba mbadala kwa sasa yameenea sana. Za asili zinajizolea umaarufu sehemu mbalimbali duniani kutokana na kupigiwa debe muda mwingi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo

Lishe asili na chakula ambacho hakijapitia viwandani inaimarisha siha yawagonjwa waliopatwa na mshtuko wa moyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani