DUKA LA DAWA ZA ASILI LILALOTEMBEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fz6RzY9NaXk/U3nQGN-KzQI/AAAAAAAFjo0/wtpo_gDsCqY/s72-c/MMGN7346.jpg)
Kamera ya Globu ya Jamii iliinasa taswira ya duka hili la dawa za asili linalotembea likiwa limepaki maeneo ya Soko Kuu la Arusha,likiendeleza libeneke lake kama kawa huku mmoja wa wateja akiendelea kupata huduma.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ld1-OWeqWYU/Xqa0CNkr0CI/AAAAAAALoUU/PWyN-g6l4VsLNErdy8lXPAWlZO2l4uazgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200423-WA0034.jpg)
DUKA LA DAWA HOSPITALI YA BAGAMOYO LASAIDIA UPATIKANAJI WA DAWA KIRAHISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ld1-OWeqWYU/Xqa0CNkr0CI/AAAAAAALoUU/PWyN-g6l4VsLNErdy8lXPAWlZO2l4uazgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200423-WA0034.jpg)
Duka hilo lililoanzishwa kwa mtaji wa sh.milioni 4, walianza kununua dawa muhimu na za lazima kwa wateja wa Bima.
Hayo yalielezwa na Mganga Mkuu wa wilaya (DMO) Dk. Aziz Msuya mbele ya viongozi wa halmashauri ya...
9 years ago
Habarileo03 Dec
Duka la dawa Muhimbili lazinduliwa
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando amezindua duka la dawa la Bohari Kuu ya Dawa (MSD) lililofunguliwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kutekeleza agizo la Rais John Magufuli.
9 years ago
Mwananchi01 Dec
MSD wafungua duka la dawa Muhimbili
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Watanzania msidharau dawa za asili
10 years ago
Habarileo05 Mar
Wauzaji dawa za asili wabanwa
SERIKALI imesisitiza kuwa dawa zote za tiba asilia ama za kisasa, zinatakiwa kufuata taratibu zote za kuziingiza hapa nchini, tofauti na hapo ni uvunjaji wa sheria.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
MSD watakiwa kununua dawa asili
CHAMA cha Watabibu wa Dawa Asilia Tanzania (ATME) kimeitaka Bohari ya Dawa (MSD), kujenga mazoea ya kununua dawa asili, ili ziweze kutumika sambamba na dawa nyingine katika vituo vya afya...
11 years ago
Mwananchi16 May
Madhara ya kuchanganya dawa za hospitali na za asili
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Tanzania, China kuboresha dawa za asili
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imeanzisha ushirikiano wa dawa za asili na Chuo cha Henan cha nchini China kinachojishughulisha na dawa hizo. Hatua hiyo imefikiwa baada...
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo