Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo

Lishe asili na chakula ambacho hakijapitia viwandani inaimarisha siha yawagonjwa waliopatwa na mshtuko wa moyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

5 years ago

Michuzi

TAHADHARI KUHUSU WAGONJWA WANAOCHANGISHA FEDHA ZA MATIBABU YA MOYO KWA AJILI YA KUTIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)



Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) unapenda  kuutahadharisha  Umma kuwa waangalifu na wagonjwa wanaochangisha fedha kwa ajili ya  kutibiwa katika Taasisi hii. Ndugu Mwananchi, inawezekana wagonjwa hao wanaochangisha fedha za matibabu wanakuwa tayari wamepata  msamaha wa matibabu kutoka kwa Taasisi au wasamaria wema...

 

11 years ago

GPL

IJUE ASILI YA VIDONGE VYA LISHE

WENGI wetu tungependa kujua historia ya vidonge vya lishe au lishetiba au Food Supplement kama inavyojulikana kitaalamu na nani aliyeanzisha utaratibu huu duniani wa kukigeuza kidonge kuwa chakula. Kabla ya mwaka 1934 hakukuwepo lishetiba ya aina yoyote duniani kitu ambacho kiliwafanya watu wa enzi hizo wapate wakati mgumu lilipokuja suala la kuboresha afya zao pale palipokuwa na upungufu wa virutubisho mwilini. Mwaka 1934...

 

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...

 

9 years ago

Mwananchi

DAWA LISHE: Ndizi hupunguza maumivu ya hedhi

Kuna matunda mengi yenye faida mwilini. Mojawapo ni ndizi mbivu ambazo wataalamu wa afya wanasema huweza kupunguza  tatizo la  wanawake kupata maumivu wakati wa hedhi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagonjwa wa moyo warejea salama

WAGONJWA 17 wa moyo waliokwenda India kwa matibabu wamerejea wakiwa na afya njema baada ya kufanyiwa upasuaji. Wagonjwa hao waliwasili nchini mwishoni mwa wiki na kupokelewa na ndugu, jamaa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania msidharau dawa za asili

Ujio wa ukoloni umeathiri sana mwenendo mzima wa hali ya afya kwa Waafrika wengi. Mojawapo wa athari za ujio huu ni kupandikizwa katika akili za Waafrika dhana kuwa kila kitu kilicho cha asili ni kibaya na hakina budi kuachwa. Kwa mfano chakula cha asili, nyumba za asili, mavazi ya asili, dawa za asili na hata tabia na mienendo ya asili.

 

11 years ago

Michuzi

DUKA LA DAWA ZA ASILI LILALOTEMBEA

Kamera ya Globu ya Jamii iliinasa taswira ya duka hili la dawa za asili linalotembea likiwa limepaki maeneo ya Soko Kuu la Arusha,likiendeleza libeneke lake kama kawa huku mmoja wa wateja akiendelea kupata huduma.

 

10 years ago

Habarileo

Wauzaji dawa za asili wabanwa

Nsachris Mwamaja SERIKALI imesisitiza kuwa dawa zote za tiba asilia ama za kisasa, zinatakiwa kufuata taratibu zote za kuziingiza hapa nchini, tofauti na hapo ni uvunjaji wa sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani