IJUE ASILI YA VIDONGE VYA LISHE
![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYCsu7-XtYufQjkXBevi9bWXvynWYwTlK*jMxoLG6UQLRlgWwaBfduu2tJv5fsZqz-uHx1BfdwVcBCHtMzN*bD5J/vidonge.jpg?width=650)
WENGI wetu tungependa kujua historia ya vidonge vya lishe au lishetiba au Food Supplement kama inavyojulikana kitaalamu na nani aliyeanzisha utaratibu huu duniani wa kukigeuza kidonge kuwa chakula. Kabla ya mwaka 1934 hakukuwepo lishetiba ya aina yoyote duniani kitu ambacho kiliwafanya watu wa enzi hizo wapate wakati mgumu lilipokuja suala la kuboresha afya zao pale palipokuwa na upungufu wa virutubisho mwilini. Mwaka 1934...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: Je ipo haja ya kutumia vidonge vya vitamin D?
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8UCKSjPiOud5aGATNhqll3wagH2pD5GQMcbF3K8PhB1w8Lk8EiLQlYJAAvdW9AWtP1i7Iq9AybU5G*aMY*8TkZW/BACKJUMAMOSI.jpg)
VIDONGE VYA KUTOA MIMBA VYAZAGAA DAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200304-WA0009.jpg)
TAMISEMI YAIJENGEA UWEZO KAMATI YA LISHE MANISPAA YA UBUNGO KWA MAFUNZO JINSI YA KUINUA KIWANGO CHA LISHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200304-WA0009.jpg)
Lengo la mafunzo...
9 years ago
Michuzi10 Sep
LISHE DUNI YACHANGIA VIFO VYA WATOTO NA KIMAMA WAJAWAZITO
Hayo yameelezwa na Naibu waziri wa Afya Dokta Kebwe S.Kebwe akitoa takwimu za vifo vya watoto na kinamama vinavyosababishwa na...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dar hatarini kwa unga wa lishe, visima vya maji
10 years ago
Mtanzania04 Feb
Ulaji vyakula vya asili huzuia saratani’
Na Michael Sarungi, Dar es Salaam
WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kula vyakula vya asili katika kujikinga na ugonjwa wa saratani, ambao hivi sasa umekuwa tishio duniani.
Mbali na hilo, pia wametakiwa kuepuka uvutaji wa sigara, ulevi wa kupindukia na kubadili aina ya maisha kama njia ya kukabiliana na ugonjwa huo.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, daktari bingwa wa magonjwa ya saratani wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk. Harrison Chuwa, alisema katika kipindi cha...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Serikali yasitisha vibali vya matangazo ya tiba asili
10 years ago
Habarileo27 May
TFDA yaombwa kufuatilia ubora wa vipodozi vya asili
WATUMIAJI wa vipodozi wameishauri Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kufuatilia na kuwachukulia hatua watengenezaji wa vipodozi vya asili, wanaodanganya ubora wa bidhaa zao wakati zinaathiri ngozi za watumiaji.