TAMISEMI YAIJENGEA UWEZO KAMATI YA LISHE MANISPAA YA UBUNGO KWA MAFUNZO JINSI YA KUINUA KIWANGO CHA LISHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200304-WA0009.jpg)
Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya uliopo Luguruni na kuhudhuriwa na mgeni rasmi ambaye ni Kaimu Das Wilaya ya Ubungo Diana K. Nkarage. Mkufunzi alikuwa ni Mratibu wa lishe kitaifa kutoka OR TAMISEMI Ndg. Mwita Waibe akisaidiwa na Afisa Lishe wa Mkoa wa Dar es salaaam Neema Kweba, Dr.Winfrida Mayilla Senior Program Manager kutoka Shirika la GAIN na Afisa Lishe wa Wilaya ya Ubungo Beatrice Joseph pamoja na wataalam kutoka Manispaa ya Ubungo.
Lengo la mafunzo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-260DkbeZ21I/Uw7ucTrsHOI/AAAAAAAAMDY/2D9gdDEI6Xk/s72-c/2.jpg)
MH. MASELE AWAJENGEA UWEZO WAKINA MAMA LISHE MKOANI SHINYANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-260DkbeZ21I/Uw7ucTrsHOI/AAAAAAAAMDY/2D9gdDEI6Xk/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y1s0jSQK6oc/Uw7uc5H-4UI/AAAAAAAAMDc/8TsXLE0bbzI/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nO-TMo90TEM/Uw7udRkMXlI/AAAAAAAAMDo/PX8aEzS0d5k/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hU-NDKNTPhQ/Vaa-zTI035I/AAAAAAAHqAw/2Sd-RQUjsqo/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
JINSI YA KUANDAA NA KUTAYARISHA DAWA-LISHE NA KUNENEPESHA, KURUTUBISHA NA KUONGEZA MWILI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hU-NDKNTPhQ/Vaa-zTI035I/AAAAAAAHqAw/2Sd-RQUjsqo/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Kusoma zaidi makala hii BOFYA...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Kitabu cha Lishe chazinduliwa
TAASISI ya Bunge ya kushughulika na Usalama wa Chakula, Lishe na Haki za Watoto (PGNFSCR), wamezindua kitabu kinachosisitiza umuhimu wa Ilani za vyama vya siasa nchini, zitakazotumika kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu, kuwa na vipengele vinavyozungumzia masuala ya chakula na lishe.
11 years ago
Habarileo06 Apr
Miundombinu, ubunifu kuinua kiwango cha ufaulu
SERIKALI imeshauriwa kuboresha na kuimarisha miundombinu yakiwemo majengo kwenye vyuo vya ualimu nchini, na kusaidia uwapo wa ubunifu ili kuinua ufaulu wa wanafunzi.
10 years ago
MichuziTAMISEMI YATAKA KUONGEZA ZAIDI KIWANGO CHA TAHADHARI YA UGONJWA WA EBOLA.
11 years ago
Habarileo11 Aug
Unga wa lishe hatari kwa watoto
MCHANGANYIKO usiozingatia makundi matano ya vyakula, unaotengenezwa na wajasiriamali au nyumbani kwa ajili ya unga wa watoto maarufu ‘Lishe’, una athari za kiafya kwa watoto wachanga na walio chini ya miaka mitano.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xK39Vwy112I/Ux2dpk1kIAI/AAAAAAAFSqI/WuV5Tupurfk/s72-c/unnamed+(25).jpg)
WAZAZI WANAYO NAFASI KUBWA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU - MKUU WA WILAYA YA CHATO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y3Fxk04B81M/Xsy3eRtcERI/AAAAAAALriQ/QsxI0ighf3oYyY3eATWsS5bJHxVDhXWVwCLcBGAsYHQ/s72-c/kabidhi.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YATOA MSAADA KWA MAMA LISHE
NA DENIS MLOWE-IRINGA
Katika kuendelea na mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya corona nchini kampuni Asas yenye makao makuu mkoani Iringa imegawa msaada wa barakoa 500 kwa mama lishe wanaofanya biashara zao katika masoko matano yaliyoko manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujinga na Virusi Vya Corona.
Msaada huo umetolewa kwa mama lishe hao ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo kuungana na serikali katika kutokomeza kuenea kwa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambao umekuwa...