JINSI YA KUANDAA NA KUTAYARISHA DAWA-LISHE NA KUNENEPESHA, KURUTUBISHA NA KUONGEZA MWILI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hU-NDKNTPhQ/Vaa-zTI035I/AAAAAAAHqAw/2Sd-RQUjsqo/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Dawa-lishe ya kuongeza, kurutubisha na kunenepesha mwili, ni dawa maalumu kwa watu wenye uzito wa chini ( Under weight ) ambao wanataka kuongeza mwili na uzito.Dawa hii huwasaidia watu ambao miili yao imedhoofu kutokana na sababu mbalimbali kama vile kuugua magonjwa na maradhi mbalimbali.Na kwa wale watu wembamba ambao wanataka kuongeza miili yao, dawa hii huwasaidia vizuri sana.
Kusoma zaidi makala hii BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200304-WA0009.jpg)
TAMISEMI YAIJENGEA UWEZO KAMATI YA LISHE MANISPAA YA UBUNGO KWA MAFUNZO JINSI YA KUINUA KIWANGO CHA LISHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200304-WA0009.jpg)
Lengo la mafunzo...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Wadau wa lishe wataka serikali kuongeza bajeti
WADAU wa masuala ya lishe nchini, wameiomba Serikali kuongeza kiwango cha fedha inachotenga kwenye bajeti yake kuhusu masuala ya lishe ili kuongeza nguvu zaidi katika kukabiliana na tatizo la utapiamlo nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HYDE6yYB_F4/Xp2orjufrqI/AAAAAAALnk8/HTV9cEEQbHcdVRHJKKXn_w-0wCbqj5fbACLcBGAsYHQ/s72-c/4bhkd6730dde371m5w_620C350.jpg)
LISHE BORA PAMOJA NA MAZOEZI VINAVYOWEZA KUIMARISHA KINGA YA MWILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HYDE6yYB_F4/Xp2orjufrqI/AAAAAAALnk8/HTV9cEEQbHcdVRHJKKXn_w-0wCbqj5fbACLcBGAsYHQ/s640/4bhkd6730dde371m5w_620C350.jpg)
Nimeona ni vizuri kuandika ujumbe huu mfupi kutokana na sintofahamu ya watu wengi katika jamii yetu kuhusiana na baadhi ya vyakula kutibu ugonjwa wa COVID-19 .
Kutokana na janga hili watu wengi wamejikuta wakila kundi moja la vyakula kwa madai ya kuuwa virusi vya Corona. Kuna baadhi ambao wanaamini wakitumia juice za limao na tangawizi zitawasaidia kupona ugonjwa...
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo
9 years ago
Mwananchi21 Aug
DAWA LISHE: Ndizi hupunguza maumivu ya hedhi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AeUgs9mNexw/VYGjNLwsONI/AAAAAAAAC7I/n2WABUSkPFk/s72-c/kitambi.jpg)
FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI
![](http://4.bp.blogspot.com/-AeUgs9mNexw/VYGjNLwsONI/AAAAAAAAC7I/n2WABUSkPFk/s640/kitambi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DtimGFeM6Ac/VYGjaqQ6mzI/AAAAAAAAC7Q/JFI22eEQnAA/s640/neemaherbalist.jpg)
Kwa upande wa wanaume seli hizo...
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Jinsi ya kuongeza Speed kwenye simu yako
Moja kati ya matatizo ya smartphones nyingi ni kuwa speed au kasi yake huwa ndogo sana. Hii hutokea mara nyingi kama umefungua applications/programs nyingi kwa mara moja. Je unawezaje kujikwamua na hali hii?
Kuna njia mbali mbali ambazo unaweza kutumia kuondokana na tatizo la simu kufanya kazi polepole. Njia kubwa na ya uhakika ni KUNUNUA SIMU YENYE UWEZO MKUBWA.
Kununua simu yenye uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja bila kusumbua ndio dawa sahihi ya kuondoka na tatizo...
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android
Kama ni mtumiaji wa simu za Android (kama mimi) lazima umekwisha kutana na jambo hili. Mara kwa mara simu yako itakupa ujumbe kuwa imejaa. Kinachosababsha simu yako kujaa mapema si simu bali ni program (applications) unazopakua na kutumia pia maudhui kama vile picha, muziki na video.
Je unawezje kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android? Tutatumia mfano wa Huawei Y360. Sababu ya kutumia aina hii ya simu kama mfano ni kwa vile inaaminika na kupendwa na watu wengi, japo ni simu mpya hapa...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Kashfa ya dawa za kuongeza nguvu 2014