WAZAZI WANAYO NAFASI KUBWA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU - MKUU WA WILAYA YA CHATO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xK39Vwy112I/Ux2dpk1kIAI/AAAAAAAFSqI/WuV5Tupurfk/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Rodrick Mpogolo amesema wazazi kwa kushirikiana na walimu wanayo nafasi kubwa katika kuhakikisha elimu Wilayani Chato inaboreka. Ameyasema hayo wakati akifungua kikao cha wadau wa elimu Wilayani Chato kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Halamshauri hiyo. Mhe. Mpogolo amesema si muda muafaka sasa wa kumwachia mwalimu kuhusu masuala yote ya elimu bali kila mtu hasa mzazi anayo nafasi kubwa ya kuhakikisha mtoto anapata mahitaji yote ya kielimu. “Maadili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
SHULE ZA MOSHI MJINI MJADALA WA KUKUZA NA KUDUMISHA KISWAHILI NA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU, MGENI RASMI KIJANA DAUDI MRINDOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
11 years ago
Habarileo06 Apr
Miundombinu, ubunifu kuinua kiwango cha ufaulu
SERIKALI imeshauriwa kuboresha na kuimarisha miundombinu yakiwemo majengo kwenye vyuo vya ualimu nchini, na kusaidia uwapo wa ubunifu ili kuinua ufaulu wa wanafunzi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y2rVtjU9ziw/XmoeczA4OII/AAAAAAALiuc/g7SLG3gmjmkPj7Kz4vOW_6x9g_TVANXlgCLcBGAsYHQ/s72-c/8de392a2-fbdf-4daa-852c-4db5fb536ace.jpg)
SERIKALI YAFURAHISHWA NA JITIHADA ZA WILAYA YA CHATO KATIKA KUWEKEZA KWENYE ELIMU
Mweli ameyasema hayo wakati alipotembelea Wilaya hiyo na kukutana na Menejimenti, Walimu pamoja na kukagua ujenzi wa shule mbalimbali zilizoboreshwa na zinazoendelea kuboreshwa Wilayani hapo.
Mweli amesema anatambua jitihada kubwa zinazofanywa katika eneo hili la Elimu ikiwa ni pamoja na kuanzisha ...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200304-WA0009.jpg)
TAMISEMI YAIJENGEA UWEZO KAMATI YA LISHE MANISPAA YA UBUNGO KWA MAFUNZO JINSI YA KUINUA KIWANGO CHA LISHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-K5hlixdXyP4/Xl9ZhI7XN4I/AAAAAAACIHA/r8we4kXCMuEENhgAYZf7clcKHEYqq8KjACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200304-WA0009.jpg)
Lengo la mafunzo...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Viongozi wa dini wanayo nafasi ya kuleta mabadiliko
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
TIA kuboresha kampasi zake kiwango cha elimu kuvutia wanafunzi wa nchi jirani
Brasi bendi kutoka jeshi la kujenga taifa Makutupora mkoani Dodoma, likiongoza maandamano ya wahitimu wa fani mbalimbali ikiwemo ya uhasibu katika mahafali ya 13 yaliyofanyika mjini Singida.
![DSCN5458](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSCN5458.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SuStNoENXYg/XmY7yeiNNEI/AAAAAAALiOc/J-WDPJMdkYQ-UCVf-EIryh9M6ieI63NOQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.03%2BAM.jpeg)
NAIBU KATIBU MKUU AHOJI KUSHUKA KIWANGO CHA UFAULU SHINYANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SuStNoENXYg/XmY7yeiNNEI/AAAAAAALiOc/J-WDPJMdkYQ-UCVf-EIryh9M6ieI63NOQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.03%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qj3uI9uUoiM/XmY7yabffEI/AAAAAAALiOY/FXG1eupYxOAo-rY2McDe0tAF-f3RG4MMwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B9.52.04%2BAM.jpeg)
NAIBU Katibu mkuu wa TAMIS Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli amehoji kushuka kwa kiwango cha ufaulu kwa Mkoa wa Shinyanga Kitaifa kutoka nafasi ya 3 kwa mwaka 2018 hadi nafasi ya 13 kwa mwaka 2019.
Akizungumza katika ziara yake ya kikazi Mkoani humo amesema haiwezekani kwa kipindi cha mwaka mmoja Mkoa huo kuporomoka kitaaluma kwa kiwango hicho ...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/NGASSA-MRISHO.jpg)
Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YxVE38edN7A/VDg9yxcxuiI/AAAAAAAGpDM/YKyctKBCuEI/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ajisalimisha kwenye Baraza la Maadili na kupewa onyo, Nchambi apewa nafasi kufika kikao
Wakati Vikao vya Baraza la Maadili vikiendelea siku yake ya pili kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995, Baraza hilo likiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi limetoa onyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Sekretarieti...